Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo
Serikali imetakiwa ianze kujipanga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kabla ya kukamilika kwa ujenzi wa bandari mpya wilayani hapa Mkoa wa Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s640/1-D92A8294.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LDN4NX-Olas/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CzZYTL-L8Pg/Vh2nXF7mH4I/AAAAAAAH_1o/OWGt9MiTeWs/s72-c/kikwete.jpg)
RAIS KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-CzZYTL-L8Pg/Vh2nXF7mH4I/AAAAAAAH_1o/OWGt9MiTeWs/s320/kikwete.jpg)
Mradi huo wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo utakaokuwa wa aina yake Afrika Mashariki na Kati, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani bilioni 10.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Dk Florens Turuka, Rais Kikwete ataweka jiwe hilo la msingi kwa ajili ya uzinduzi wa awamu ya kwanza ya mradi; ambayo ni...
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1i51vM7IjLc/XteJcAYy9aI/AAAAAAALsbw/kt3MhNSLZ3YHPhT9uHFD6bzC2V7mlnSvQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0010.jpg)
DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO
Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.
Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
9 years ago
Habarileo16 Oct
Jiwe la msingi Bandari ya Bagamoyo leo
UJENZI wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani unaojengwa kwa kushirikiana kati ya Tanzania, China na Oman, unazinduliwa leo kwa kuwekwa jiwe la msingi na Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Waarabu watoa masharti uwekezaji bandari ya Bagamoyo