Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s72-c/index1.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s640/index1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nW10XhWZKbo/Vl7ZVnhzf2I/AAAAAAAIJvw/-ibpvDZy578/s640/index2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar awasilisha agizo la Serikali yake kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TrC4TyHFPKQ/U1zBUAVpaVI/AAAAAAAFdcY/Ka-s_bPNpX0/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lq0IenuLQWE/UvIf11FZMLI/AAAAAAAFK_8/lUS2MVOhw7s/s1600/unnamed+(36).jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Tanzania kujenga bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Serikali yasisitiza ujenzi Bandari ya Mwambani
NA OSCAR ASSENGA
SERIKALI imesema mpango wa ujenzi wa bandari mpya ya Mwambani mkoani Tanga upo kama ulivyopangwa.
Kujengwa kwa bandari hiyo, imeelezwa itakuwa ni kichocheo cha mabadiliko ya kiuchumi ndani ya Mkoa wa Tanga ambapo shehena za mizigo zitaongezeka mara dufu kuliko ilivyo sasa.
Hayo yalibainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi ya kukagua bandari hiyo na eneo...