Serikali yasisitiza ujenzi Bandari ya Mwambani
NA OSCAR ASSENGA
SERIKALI imesema mpango wa ujenzi wa bandari mpya ya Mwambani mkoani Tanga upo kama ulivyopangwa.
Kujengwa kwa bandari hiyo, imeelezwa itakuwa ni kichocheo cha mabadiliko ya kiuchumi ndani ya Mkoa wa Tanga ambapo shehena za mizigo zitaongezeka mara dufu kuliko ilivyo sasa.
Hayo yalibainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi ya kukagua bandari hiyo na eneo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana kuivalia njuga Serikali ujenzi wa bandari
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Kinana akerwa kuchelewa ujenzi wa bandari
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeijia juu serikali kwa kumkumbatia mkandarasi asiye na uwezo wa kujenga bandari ndogo ya Karema, mkoani Katavi. CCM imewaomba radhi wananchi wa Karema na Mkoa wa...
11 years ago
Habarileo18 Feb
CCM yasisitiza Serikali mbili
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Mtanzania asimamia mradi ujenzi wa Bandari ya Qatar