Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana akerwa kuchelewa ujenzi wa bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeijia juu serikali kwa kumkumbatia mkandarasi asiye na uwezo wa kujenga bandari ndogo ya Karema, mkoani Katavi. CCM imewaomba radhi wananchi wa Karema na Mkoa wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kinana kuivalia njuga Serikali ujenzi wa bandari

Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema baada ya kumaliza mgogoro uliodumu kwa miaka miwili wa Kiwanda cha Chai cha Mponde, sasa anaelekeza nguvu kushinikiza ijengwe bandari mpya ya Ndumi jijini

 

11 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)

119

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.

121

Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.

006

Balozi wa Malawi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana akerwa na viongozi wabovu

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema bado kuna viongozi na watendaji ambao hawatekelezi majukumu yao lakini hawachukuliwi hatua zinazostahili na mamlaka za juu.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akerwa mafisadi kulindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana akerwa vikwazo kwa wakulima Rukwa

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana, amesema tatizo la wakulima wa Mkoa wa Rukwa, kuwekewa vikwazo na kupangiwa maeneo na muda wa kuuza mazao yao ni lazima liwe historia ili waondokane na umasikini.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AKERWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NYUMBA YA DC DODOMA


Charles James, Globu ya Jamii

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo ameelezwa kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi na kuagiza kuongezwa kwa nguvu kazi.

Jafo ametoa kauli hiyo leo alipofanya ziara ya ukaguzi wa nyumba hiyo ambayo inajengwa na Suma JKT na kuwaagiza kuongeza nguvu ili Mkuu huyo wa wilaya aweze kuhamia katika muda uliopangwa.

" Nikiangalia idadi ya mafundi hapa na tarehe ambayo mmesema ujenzi utakamilika Mei 7...

 

10 years ago

Habarileo

TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani

Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano wa TPA, Janeth RuzangiMAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yasisitiza ujenzi Bandari ya Mwambani

Samuel-Sitta1NA OSCAR ASSENGA
SERIKALI imesema mpango wa ujenzi wa bandari mpya ya Mwambani mkoani Tanga upo kama ulivyopangwa.
Kujengwa kwa bandari hiyo, imeelezwa itakuwa ni kichocheo cha mabadiliko ya kiuchumi ndani ya Mkoa wa Tanga ambapo shehena za mizigo zitaongezeka mara dufu kuliko ilivyo sasa.
Hayo yalibainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi ya kukagua bandari hiyo na eneo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania asimamia mradi ujenzi wa Bandari ya Qatar

>Serikali ya Qatar inajenga bandari mpya katika eneo la jangwa, mradi unaogharimu Dola za Marekani 80 bilioni na ikimteua raia wa Tanzania asimamie kazi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani