Kinana kuivalia njuga Serikali ujenzi wa bandari
Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema baada ya kumaliza mgogoro uliodumu kwa miaka miwili wa Kiwanda cha Chai cha Mponde, sasa anaelekeza nguvu kushinikiza ijengwe bandari mpya ya Ndumi jijini
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Kinana akerwa kuchelewa ujenzi wa bandari
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeijia juu serikali kwa kumkumbatia mkandarasi asiye na uwezo wa kujenga bandari ndogo ya Karema, mkoani Katavi. CCM imewaomba radhi wananchi wa Karema na Mkoa wa...
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Serikali yasisitiza ujenzi Bandari ya Mwambani
NA OSCAR ASSENGA
SERIKALI imesema mpango wa ujenzi wa bandari mpya ya Mwambani mkoani Tanga upo kama ulivyopangwa.
Kujengwa kwa bandari hiyo, imeelezwa itakuwa ni kichocheo cha mabadiliko ya kiuchumi ndani ya Mkoa wa Tanga ambapo shehena za mizigo zitaongezeka mara dufu kuliko ilivyo sasa.
Hayo yalibainishwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi ya kukagua bandari hiyo na eneo...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ni dhahiri Serikali haijalivalia njuga tatizo la wahitimu mbumbumbu
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Prof. Jumanne Maghembe: Serikali imevalia njuga tatizo la ukosefu wa maji nchini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Prof. Jumanne Maghembe mara baada ya kuwasili katika kata ya Kileo jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro wakati alipoanza ziara ya kikazi ya jimboni humo akikagua na kuhimiza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa CCM.
Akizungumzia tatizo la maji nchini kwa ujumla Prof....
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Mtanzania asimamia mradi ujenzi wa Bandari ya Qatar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s640/1-D92A8294.jpg)