Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana akerwa na viongozi wabovu

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema bado kuna viongozi na watendaji ambao hawatekelezi majukumu yao lakini hawachukuliwi hatua zinazostahili na mamlaka za juu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza maswali na changamoto mbalimbali walizonazo  kutoka kwa Wananchi wa kata ya Ayamango (Gallapo),Wilayani Babati Vijijini mkoani Manyara kwenye mkutano wa hadhara.Baada ya kusikiliza maswali kinana alionekana kukerwa kwa kiasi kikubwa wananchi wanavyoporwa maeneo yao na viongozi wa chama na Serikali wakiwemo na baadhi ya wawekezaji, Kinana aliahidi suala hilo ambalo limekithiri kwa kiasi kikubwa wilayani humo,kulitafutia ufumbuzi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana azidi kulia na watendaji wabovu

Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameanza ziara mkoani Pwani kwa kuendelea kupokea shutuma dhidi ya viongozi wa Serikali ambao ni wazito katika kutatua kero za wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Sababu za uchumi mbovu ni viongozi wabovu’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema sababu za kuwa na uchumi tegemezi zinatokana na viongozi wabovu wanaoendesha nchi kiholela. Profesa Lipumba ambaye pia ni mtaalamu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rushwa hizi zitatupatia viongozi wabovu 2015

WAKATI Watanzania wakijiandaa kuingia kwenye mwaka wa uchaguzi mkuu utakaoiingiza awamu ya tano ya uongozi wa taifa letu, rushwa bado ni tatizo kubwa ndani ya jamii. Rushwa na uzembe wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Nyomi, umaarufu utaweka viongozi wabovu madaraka’

Ushabiki wa kisiasa unaoendelea nchini wa kutaka kumchagua kiongozi kutokana na umaarufu na kukusanya watu wengi kwenye mikutano ya kampeni, kunaweza kuchangia kuwaweka madarakani viongozi wabovu, imeelezwa.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akerwa mafisadi kulindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana akerwa kuchelewa ujenzi wa bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeijia juu serikali kwa kumkumbatia mkandarasi asiye na uwezo wa kujenga bandari ndogo ya Karema, mkoani Katavi. CCM imewaomba radhi wananchi wa Karema na Mkoa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana akerwa vikwazo kwa wakulima Rukwa

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana, amesema tatizo la wakulima wa Mkoa wa Rukwa, kuwekewa vikwazo na kupangiwa maeneo na muda wa kuuza mazao yao ni lazima liwe historia ili waondokane na umasikini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana awashukia viongozi goigoi

 Viongozi wanaotokana na Chama cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kuunda kamati kwa ajili ya kufuatilia makosa yanayofanywa na baadhi ya watendaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani