Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Sababu za uchumi mbovu ni viongozi wabovu’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema sababu za kuwa na uchumi tegemezi zinatokana na viongozi wabovu wanaoendesha nchi kiholela. Profesa Lipumba ambaye pia ni mtaalamu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kinana akerwa na viongozi wabovu

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema bado kuna viongozi na watendaji ambao hawatekelezi majukumu yao lakini hawachukuliwi hatua zinazostahili na mamlaka za juu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rushwa hizi zitatupatia viongozi wabovu 2015

WAKATI Watanzania wakijiandaa kuingia kwenye mwaka wa uchaguzi mkuu utakaoiingiza awamu ya tano ya uongozi wa taifa letu, rushwa bado ni tatizo kubwa ndani ya jamii. Rushwa na uzembe wa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Nyomi, umaarufu utaweka viongozi wabovu madaraka’

Ushabiki wa kisiasa unaoendelea nchini wa kutaka kumchagua kiongozi kutokana na umaarufu na kukusanya watu wengi kwenye mikutano ya kampeni, kunaweza kuchangia kuwaweka madarakani viongozi wabovu, imeelezwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za Mkoa wa Mbeya kuyumba uchumi wake

Wakati Mkoa wa Mbeya ukitajwa kuwa moja ya mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, zipo habari kwamba unaporomoka kwa kasi kiuchumi.

 

10 years ago

Habarileo

'Viongozi muwe wabunifu kuinua uchumi'

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa mkoa wa Morogoro kuwa wabunifu katika kutafuta majawabu ya msingi yatakayowasaidia wananchi kuinua uchumi wao kupitia nyanja za kilimo, ufugaji na biashara ili kukuza vipato vyao na waondokane na umasikini.

 

5 years ago

Michuzi

KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT). Kailima, amezungumza leo  katika Mkutano  na waandishi wa habari uliofanyika, jijini Dodoma.  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (kushoto) akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kutokana na malalamiko...

 

11 years ago

Michuzi

RC RUVUMA AWATAKA VIONGOZI KAMATI YA FEDHA ,UCHUMI NA MIPANGO NYASA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF )

mafunzo juu  sheria ndogo ya mfuko  wa afya  ya  jamii (CHF) ktk Halmashauri  hiyo  mpya  Viongozi  wa Halmashauri ya Nyasa  mkoani  Ruvuma  wakiwa katika  mafunzo  Viongozi  wa  Halmashauri ya  Nyasa mkoani Ruvuma  wakiwa  katika  picha ya  pamoja na  watumishi wa mfuko  wa Taifa wa  bima ya Afya  (CHIF) ambao  walitembelea  Halmashauri  hiyo  kutoa mafunzo juu  sheria ndogo ya mfuko  wa afya  ya  jamii (CHF) ktk Halmashauri  hiyo  mpya

 mkuu wa mkoa wa Ruvuma  Said...

 

11 years ago

Mwananchi

Muhongo awashukia watendaji wabovu

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa watumishi wa Serikali ngazi za juu ni chanzo cha kusababisha wananchi kuichukia Serikali iliyopo madarakani na chama chake, kutokana na utendaji kazi mbovu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola awachongea watendaji wabovu

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua madhubuti za kushughulikia tatizo la watendaji wabovu ndani ya halmashauri nchini, vinginevyo hata bajeti ya maendeleo ikiongezwa na kupelekwa kwa wakati haiwezi kuleta tija kwa wananchi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani