RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s72-c/index1.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Mkuu wa Shirika la Bandari Mbarouk Hamadi Mbarouk (wa pili kushoto) wakati alipotembelea Eneo la Ujenzi wa Bandari Mpya ya kisasa Mpigaduri Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi itakayojengwa Kampuni ya CHINA HARBOUR ENGINEERING COMPANY LTD (CHEC) kutoka Nchini China,(kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi.
Rais wa Zanzibar na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s72-c/856.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s1600/856.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gGwKIWXdlU/VDvZ-nhwAuI/AAAAAAAGpzk/WHWyD5u6bR8/s1600/869.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--pKecWbftlQ/VDvZ-IkmpgI/AAAAAAAGpzg/z25UdEtSua8/s1600/894.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ucrmSUxYNSk/VlG_8K_CVzI/AAAAAAAIHxA/dTNVMZJFmvw/s72-c/DSC_0506.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA KISASA FUMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ucrmSUxYNSk/VlG_8K_CVzI/AAAAAAAIHxA/dTNVMZJFmvw/s640/DSC_0506.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
DK.SHEIN ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA HOSPITALI NA KITUO CHA UTAFITI TUNGUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
9 years ago
MichuziWAKAZI WA BAGAMOYO WA ENEO LA BANDARI WAFANYIWE TATHIMINI UPYA-RAIS KIKWETE
Dk.Kikwete ameyasema hayo leo Bagamoyo wakati wa kuweka jiwe la msingi la uzinduzi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ,amesema kuwa wananchi wasiondoke katika maeneo yao wakiwa na manunguniko.
Amesema kuwa mradi wa ujenzi ni mkubwa hivyo wananchi wanatakiwa kupewa haki yake kutokana na eneo ikiwa pamoja na kujengewa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9aVZEgTpNBI/U3vaww3NEpI/AAAAAAAFkBc/pYIdOhCW4Bs/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Rais Dkt Shein Atembelea Bandari ya Malindi Unguja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9aVZEgTpNBI/U3vaww3NEpI/AAAAAAAFkBc/pYIdOhCW4Bs/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XrL1sPdRoiU/U3vawwTQwXI/AAAAAAAFkCI/fvUyIAIU2_Q/s1600/unnamed+(23).jpg)
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR