Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Mtanzania asimamia mradi ujenzi wa Bandari ya Qatar
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Pinda ‘kuinadi’ gesi ya Mtwara, mafuta Qatar
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na wafanyabiashara wa Qatar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano na wafanyabiashara hao uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. Alikuwa katika ziara ya kaikazi nchini humo. (Picha na...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR
9 years ago
VijimamboAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NA QATAR
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NA QATAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s72-c/index1.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s640/index1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nW10XhWZKbo/Vl7ZVnhzf2I/AAAAAAAIJvw/-ibpvDZy578/s640/index2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 May
Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty