MH. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda wakizungumza na Mchezaji Mwinyi Kazimoto ambaye ni Mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya Al Markhiaya nchini Qatar, katika mkutano kati yake na watanzania waishio nchini humo uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 21, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda (kushoto kwake) wakizungumza na baadhi ya washiriki wa mkutano kati yake na watanzania waishio nchini Qatar uliofanyika kwenye hoteli ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Pinda akutana na Watanzania waishio Reading Uingereza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio Reading Uingereza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s72-c/115035.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s1600/115035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0uvcuK9UN0/VE6ppRHaZYI/AAAAAAACtsQ/HtlT9gzpUxs/s1600/120008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8qUy1tjRGs/VE6ppgm_P2I/AAAAAAACtsU/VN9R1GFtxFk/s1600/120017.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s72-c/DSC_0008.jpeg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s1600/DSC_0008.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s551uVCR2Fg/U8LMYmAmjjI/AAAAAAAF138/5RYp7J9slW0/s1600/DSC_0019.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K4lSl-S2yw/U8LMaGV_TvI/AAAAAAAF14U/2eToghsl6kY/s1600/DSC_0049.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W7QebiXTrgw/U8LMaS70Y8I/AAAAAAAF14Y/A5XTVJTwN5o/s1600/DSC_0057.jpeg)
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Watanzania waishio India-akutana na Wawekezaji
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na wafanyabiashara wa Qatar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano na wafanyabiashara hao uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. Alikuwa katika ziara ya kaikazi nchini humo. (Picha na...
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Watanzania kunufaika na ajira Qatar- Pinda
Na Mwandishi Maalumu, Qatar
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni.
Hayo aliyasema jana jijini Doha, Qatar wakati akizumgumza na waandishi wa habari ili kuwapa taarifa fupi juu ya mambo yaliyojiri katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Abdulla Nasser Al Thani.
Katika mazungumzo hayo ambayo...
10 years ago
Habarileo22 Dec
Watanzania kunufaika na ajira Qatar - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira, ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni.