Pinda akutana na Watanzania waishio Reading Uingereza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio Reading Uingereza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto), Mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano ili kuzungumza na Watanzania waishio Reading Julai 10, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa Watanzania waishio Reading nchini Uingereza kabla ya kuzungumza nao Julai 10, 2014. Kushoto ni Mwenyekiti wa… ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s72-c/DSC_0008.jpeg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s1600/DSC_0008.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s551uVCR2Fg/U8LMYmAmjjI/AAAAAAAF138/5RYp7J9slW0/s1600/DSC_0019.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K4lSl-S2yw/U8LMaGV_TvI/AAAAAAAF14U/2eToghsl6kY/s1600/DSC_0049.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W7QebiXTrgw/U8LMaS70Y8I/AAAAAAAF14Y/A5XTVJTwN5o/s1600/DSC_0057.jpeg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s72-c/115035.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s1600/115035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0uvcuK9UN0/VE6ppRHaZYI/AAAAAAACtsQ/HtlT9gzpUxs/s1600/120008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8qUy1tjRGs/VE6ppgm_P2I/AAAAAAACtsU/VN9R1GFtxFk/s1600/120017.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s72-c/Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO, MHE. PETER MIZENGO PINDA KUKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s1600/Pinda.jpg)
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania London unawakaribisha Watanzania wote watakaoweza kupata fursa kuja kuzungumza na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda hapo Ubalozini siku ya Jumamosi (tarehe 12 Julai 2014) kuanzia saa nane mchana hadi kumi na moja jioni (14:00 – 17:00 Hours)
Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kuzungumzia masuala mbalimbali ya maendeleo ya nchi yetu. Aidha atajibu maswali...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Watanzania waishio India-akutana na Wawekezaji
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TANGAZO KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Forty Avenue, Wembley Park, London, Middx, HA9 9BE, kuanzia saa 10 jioni (16:00).
Katika Mkutano huo, Mhe.Rais Kikwete atazungumzia maendeleo ya nchi yetu na pia kutumia fursa hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZR7AAHndwj5mfuZua1CePKIGXhH9jR*5ir8oESuYj7Kz4LkCy6*MDD0daMcKIdxr4TM0AXHPtCsrgT8o6C3wnU/lo2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika Ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, aliko katika ziara ya kiserikali ya siku tatu kwa…
11 years ago
MichuziPINDA ASAFIRI KWA TRENI KWENDA READING KUZUNGUMZA NA WATANZANIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipanda treni kutoka Reading kwenda London Uingereza baada ya kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania