WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO READING UINGEREZA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto), Mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano ili kuzungumza na Watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa Watanzania waishio Reading nchini Uingereza kabla ya kuzungumza nao Julai 10, 2014. Kushoto ni Mwenyekiti wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
Pinda akutana na Watanzania waishio Reading Uingereza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano ili kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio Reading Uingereza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s72-c/DSC_0008.jpeg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QwawJySr2Dk/U8LMYt85YOI/AAAAAAAF14E/omeY1INlAJc/s1600/DSC_0008.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s551uVCR2Fg/U8LMYmAmjjI/AAAAAAAF138/5RYp7J9slW0/s1600/DSC_0019.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K4lSl-S2yw/U8LMaGV_TvI/AAAAAAAF14U/2eToghsl6kY/s1600/DSC_0049.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W7QebiXTrgw/U8LMaS70Y8I/AAAAAAAF14Y/A5XTVJTwN5o/s1600/DSC_0057.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s72-c/Pinda.jpg)
WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO, MHE. PETER MIZENGO PINDA KUKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Smwd4JcXH8M/U7zplfS1ZrI/AAAAAAAFzq8/X89YbdK3eFQ/s1600/Pinda.jpg)
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania London unawakaribisha Watanzania wote watakaoweza kupata fursa kuja kuzungumza na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda hapo Ubalozini siku ya Jumamosi (tarehe 12 Julai 2014) kuanzia saa nane mchana hadi kumi na moja jioni (14:00 – 17:00 Hours)
Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kuzungumzia masuala mbalimbali ya maendeleo ya nchi yetu. Aidha atajibu maswali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s72-c/115035.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-YlXOPwEv0cY/VE6ptDa4O_I/AAAAAAACtsg/qiIfiUrM_UY/s1600/115035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0uvcuK9UN0/VE6ppRHaZYI/AAAAAAACtsQ/HtlT9gzpUxs/s1600/120008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8qUy1tjRGs/VE6ppgm_P2I/AAAAAAACtsU/VN9R1GFtxFk/s1600/120017.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akutana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nj9zPiy7qNs/Uu0kGBhTHxI/AAAAAAAFKHU/T1gx9tEuhQ8/s1600/unnamed+(65).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EMzbMtDro60/Uw4LVc55YJI/AAAAAAAFP1I/6wB2kCCfBok/s72-c/unnamed+(52).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA SCHLUMBERGER
![](http://2.bp.blogspot.com/-EMzbMtDro60/Uw4LVc55YJI/AAAAAAAFP1I/6wB2kCCfBok/s1600/unnamed+(52).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NA QATAR
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA LIONS CLUBS
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan.