Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara
Rais Jakaya Kikwete ameongeza miezi sita ya kukamilisha ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini, baada ya muda wa miaka miwili alioutoa awali kumalizika Novemba 30, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Dec
Rais aongeza miezi 6 kukamilisha maabara
Rais Jakaya Kikwete ameongezea muda wa miezi sita kukamilishwa ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Trump aongeza muda wa masharti mpaka baada ya pasaka
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-o2mL_3ufUJ8%2FVLa0MvxcGcI%2FAAAAAAADVgE%2FPTmWYfeECBU%2Fs1600%2Faa2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-T3Ad-NQc5LY%2FVLa0MfV2FzI%2FAAAAAAADVgA%2FmpY8NRElI8E%2Fs1600%2Faa3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-USR64kXnR5U/Vd9Zlb-Nq4I/AAAAAAAH0fI/qejr_hUmNVg/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS Kikwete AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-USR64kXnR5U/Vd9Zlb-Nq4I/AAAAAAAH0fI/qejr_hUmNVg/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--gJoTJ1BEQ8/Vd9ZlEnYrzI/AAAAAAAH0fE/-93j6thXsp8/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ADSjpN4EAQY/VZ5xNd01ARI/AAAAAAAHoCU/vaHFMKi90Ko/s72-c/D92A0483.jpg)
FUATILIA HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI AKIFUNGA BUNGE MUDA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADSjpN4EAQY/VZ5xNd01ARI/AAAAAAAHoCU/vaHFMKi90Ko/s640/D92A0483.jpg)
BOFYA HAPA KUONA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k4F1UTC-VlYOcvp1QNKJEwp3LXU9uASxyP53Lr6WKi0NOg0z2ZUU97gFe0oJupynTuEYlc-C*-oJDR2uLJWQ6M2/D92A0483.jpg)
FATILIA HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI AKIFUNGA BUNGE MUDA HUU
10 years ago
Habarileo24 Dec
DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.