Coronavirus: Trump aongeza muda wa masharti mpaka baada ya pasaka
Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza muda wa sharti la kutochangamana baada ya angalizo kuwa raia wa Marekani 200,000 hatarini kupoteza maisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Rais Trump awalenga mayaya na wanafunzi katika masharti mapya ya visa Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GsorU3XmQKY/XpnKMuyJoDI/AAAAAAALnQM/JzKSppuSHaIzTIB9v563jgW_rmIrO7foQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-17-16h25m03s997.png)
Anayedaiwa mganga wa kienyeji ajinyonga mpaka kufa kwa kukiuka masharti ya kiganga
![](https://1.bp.blogspot.com/-GsorU3XmQKY/XpnKMuyJoDI/AAAAAAALnQM/JzKSppuSHaIzTIB9v563jgW_rmIrO7foQCLcBGAsYHQ/s320/vlcsnap-2020-04-17-16h25m03s997.png)
Kaido Mfilinge anayekadiliwa kuwa na umri wa mika 30, ambaye inadaiwa ni mganga wa kienyeji kwa asili amekutwa amejinyonga mpaka kufa katika mtaa wa Nazaleti mjini Njombe baada ya kuchukua dawa kwa mganga mwenzie kutoka mkoani Ruvuma na kukiuka masharti ambayo alikuwa amepewa.
Akizungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema jeshi la polisi limefika katika eneo ambalo kijana huyo amejinyongea na...
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa muda kuanzia Jumatatu
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dY6WKX8SZH0/U_7VSVTiZhI/AAAAAAAAMeg/gSYzwuuCaQA/s72-c/1.jpg)
MBUNGE WA KAWE CHADEMA ALALA SEGEREA BAADA YA KUSHINDWA MASHARTI YA DHAMANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dY6WKX8SZH0/U_7VSVTiZhI/AAAAAAAAMeg/gSYzwuuCaQA/s1600/1.jpg)
Mdee na wenzake nane mapema leo walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar na kukana tuhuma zinazowakabili.Mdee na wenzake hao wanashitakiwa kwa makosa mawili kototii amri za maofisa wa polisi na kufanya maandamano kinyume na sheria Jumamosi iliyopita ya Oktoba...
9 years ago
StarTV23 Oct
Polisi yasimamisha mikusanyiko mpaka baada ya uchaguzi
Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko yote baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za wagombea wa Urais, Wabunge na Madiwani Octoba 24 mpaka matokeo ya uchaguzi mkuu yatakapotangazwa .
Akizungumza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amesema kutokana na uzoefu wa kipindi cha kampeni uwepo wa mikusanyiko ya watu wenye itikadi moja husababisha vurugu.
IGP Mangu amesema ni vyema wananchi wakajiepusha na vitendo vyovyote vya uchokozi kwa kuwa Jeshi la Polisi halitasita kuchukua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s72-c/IMG-20150826-WA0014.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_HmmvaBXKUA/Vd3PGd5TkUI/AAAAAAADXPY/Rqjx3WJlQok/s640/IMG-20150826-WA0014.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G30ZG8WdwaA/Vd3QIR9KQXI/AAAAAAADXPk/LdC5jkziSIU/s1600/mashaaa_.jpg)
Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...