Coronavirus: Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi
Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya taarifa kuhusu kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Sep
Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Mndolwa asema hana mpango na ubunge
NA MOHAMMED ISSA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Vijijini, Dk. Edmund Mndolwa, amesema hafanyi ziara kwa lengo la kutaka ubunge katika jimbo la Korogwe Vijijini.
Amesema anafanya kazi kama mjumbe wa NEC, kutoka wilaya hiyo na kwamba lengo la ziara zake ni kukijenga Chama.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, jana, Dk. Mndolwa alisema hajawahi kufanya kampeni yoyote katika ziara zake hizo na kwamba lengo la ziara zake...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Sendeka asema hana mpango kuhama CCM
MBUNGE wa Simanjiro Christopher ole Sendeka amekanusha habari zilizosambaa mitandaoni kuwa anahamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kusema kuwa habari hizo hazina tija na ni upotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muumini wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hajaona chama mbadala.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Trump hana 'mamlaka 'ya kuondoa marufuku ya kutotoka nje
9 years ago
Bongo528 Sep
Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa
9 years ago
Bongo516 Oct
Hemedy PHD asema hana mpango wa kufanya video nje ya nchi
9 years ago
Bongo523 Nov
Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale
Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.
Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.
Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...
10 years ago
Bongo521 Sep
Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi