Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale

mondi bin awards

Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.

mondi bin awards

Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.

Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD asema hana mpango wa kufanya video nje ya nchi

Hemedy PHD ni miongoni mwa wasanii wanaowekeza katika kufanya video nzuri lakini kwa kutumia watayarishaji, waongozaji na maeneo ya wa hapa hapa nyumbani Tanzania. Msanii huyo wa muziki na filamu amesema kuwa hana mpango wa kwenda kushoot video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wengine. Staa huyo ambaye ameachia wimbo […]

 

9 years ago

Bongo5

Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua – Babu Tale

Babu Tale

Ni muda mrefu sana hatujasikia nyimbo za makundi kama Tip Top au TMK Wanaume Family ambayo kipindi cha nyuma yalikuwa yakitoa nyimbo za kundi huku wasanii wake wakiendelea kutoa kazi za mmoja mmoja.

Babu Tale

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amezungumzia swala la makundi na kutoa sababu kwanini Tip Top hawajatoa nyimbo za kundi kwa kipindi kirefu.

“Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua, sio tu Tip Top, hakuna nyimbo ya kundi ya East Coast, hakuna nyimbo ya Kundi ya TMK wala ya Tip Top,...

 

9 years ago

Bongo5

Babu Tale adai anatamani kufanya kazi tena na Z Anto

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amesema miongoni mwa wasanii wake wa zamani anaotamani kufanya nao kazi tena, ni Z Anto. Tale amesema Z Anto ni msanii mwenye heshima na kipaji. “Natamani nifanye naye tena kazi Z Anto,” Tale alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Z Anto ana heshima, anaweza kazi. […]

 

10 years ago

Mtanzania

Babu Tale: Diamond hajapokea fedha za Lowassa

f03aa272bfLNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amesema hawajawahi kupewa kiasi cha fedha Sh mil 500 na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, ili wampigie kampeni za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Babu Tale alisema watakuwa wehu kukataa fedha nyingi kiasi hicho wakati wenyewe wanafanya muziki ili kupata fedha, lakini ukweli ni kwamba hawajapewa kitu chochote.
Alisema hata hivyo...

 

10 years ago

GPL

BABU TALE, KWA HILI LA DIAMOND UMEBUGI!

MOJA ya tatizo kubwa linalowasumbua wasanii wetu, hasa hawa wa muziki wa kizazi kipya, ni ukosefu wa usimamizi makini wa kazi zao za sanaa, au kama wazungu wanavyosema, Management. Wenyewe, hasa chipukizi wanaotaka kutoka, utawasikia wanasema, nina kipaji lakini sina meneja. Ingawa wanaposema meneja maana yake ni msimamizi wa kazi zao, lakini kwao huwa na maana pana zaidi, kwamba mtu huyo, ndiye awe bosi wake, amsaidie hela ya...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ASAKWA MAZISHI YA BABA WA BABU TALE

Dustan Shekidele, Morogoro
BABA mzazi wa Meneja wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa juzi Jumanne kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro lakini miongoni mwa mambo ya kushangaza ni kitendo cha baadhi ya waombolezaji kumsaka mwanamuziki Nasibu bila mafanikio. Staa wa Bongo fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’. Hilo lilijitokeza baada ya msafara uliotokea Dar kufika eneo hilo ambapo vijana walilizingira...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake

dai n zar

Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.

dai n zar

Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.

mashine...

 

10 years ago

Bongo5

Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba

Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema haoni kama kuna beef kati ya msanii wake na Alikiba bali ni ushindani wa kibiashara. “Mimi sidhani kama Diamond na Ali Kiba wana beef, ni biashara, challenging,” Tale amekiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM. “Sijawahi kuona wanagombana katika maisha yangu. Watu wanaoandika nyuma wanaandika kwa sababu wanaamua kuandika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani