BABU TALE, KWA HILI LA DIAMOND UMEBUGI!
![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ek-K37XIOx4u5GmUvTeyjN6ddBXBes2T0GAfrn9eBf3eNgW-Zn3z98rzIEWoz69laXQ1pVhbhiUjVKn-WCvISiR/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MOJA ya tatizo kubwa linalowasumbua wasanii wetu, hasa hawa wa muziki wa kizazi kipya, ni ukosefu wa usimamizi makini wa kazi zao za sanaa, au kama wazungu wanavyosema, Management. Wenyewe, hasa chipukizi wanaotaka kutoka, utawasikia wanasema, nina kipaji lakini sina meneja. Ingawa wanaposema meneja maana yake ni msimamizi wa kazi zao, lakini kwao huwa na maana pana zaidi, kwamba mtu huyo, ndiye awe bosi wake, amsaidie hela ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7B74WnTcIb6OLywuW-hNxNNBZjl8x9690qyACtGEA5Xq6dLeEbIwSqf5UwAN79vZeaa0xO5gmhY6*oG2KFMdSP/Diamond.jpg)
DIAMOND ASAKWA MAZISHI YA BABA WA BABU TALE
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Babu Tale: Diamond hajapokea fedha za Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amesema hawajawahi kupewa kiasi cha fedha Sh mil 500 na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, ili wampigie kampeni za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Babu Tale alisema watakuwa wehu kukataa fedha nyingi kiasi hicho wakati wenyewe wanafanya muziki ili kupata fedha, lakini ukweli ni kwamba hawajapewa kitu chochote.
Alisema hata hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_0oNJZRUcQ4/VV-AlsFiQWI/AAAAAAAHZRc/UHdiJLJs_1c/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Bongo515 Aug
Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba
10 years ago
Vijimambo24 Sep
Babu Tale azungumzia ujio mpya wa Diamond, kazi zote zimetayarishwa nje
![](http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/23/cache/Diamond%20mpya_full.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale
![mondi bin awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-bin-awards-300x194.jpg)
Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.
Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.
Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo….
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo…. appeared first on...
10 years ago
Vijimambo23 May
9 years ago
Bongo514 Dec
Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua – Babu Tale
![Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/06/DSC_8752-146x200.jpg)
Ni muda mrefu sana hatujasikia nyimbo za makundi kama Tip Top au TMK Wanaume Family ambayo kipindi cha nyuma yalikuwa yakitoa nyimbo za kundi huku wasanii wake wakiendelea kutoa kazi za mmoja mmoja.
Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amezungumzia swala la makundi na kutoa sababu kwanini Tip Top hawajatoa nyimbo za kundi kwa kipindi kirefu.
“Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua, sio tu Tip Top, hakuna nyimbo ya kundi ya East Coast, hakuna nyimbo ya Kundi ya TMK wala ya Tip Top,...