Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake
Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
mashine...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale
![mondi bin awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-bin-awards-300x194.jpg)
Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.
Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.
Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mpiga picha maarufu Zanzibar Javed Jafferji aonyesha picha aliyompiga marehemu Princess Diana miaka 20 iliyopita
-Javed Jaffereji is master of Photographer for many year. Javed now stay in Zanzibar
-He post he special photo and written:
“My favourite picture which I had photographed m, almost twenty years ago when I was a Paparazzi Photographer… The Late Princess Diana at her best during Royal Ascot, races …..”
Professional photographer, Javed Jafferji has journeyed the vast corners of East Africa over the last decade, capturing the essence of this prestigious and extraordinary area. His...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDObF*Re82R8Ck89kZezXYbEByWCwdDx95p1AjSyktucdvrdQ*2kzsglSXTQHkdH2wTroXuzb6g70XxDCe4yRAs/3.jpg?width=650)
MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI
10 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay
9 years ago
Bongo505 Jan
Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’
![h n d](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/h-n-d-300x194.jpg)
Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Mwanamziki Diamond Platnumz na mpenzi wake waachia nyimbo mpya
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s72-c/IMG_1080.jpg)
tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana
![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s1600/IMG_1080.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZSTNFVic7w/Uu_q1ViZuZI/AAAAAAAFKtk/_Mrav64BmG4/s1600/IMG_1084.jpg)
9 years ago
Bongo519 Oct
Ivan bado anampenda mno Zari, asema mpambe wake (Picha)
9 years ago
Bongo Movies06 Jan
Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Yawa Gumzo
Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram.
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable”
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake...