Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake

dai n zar

Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.

dai n zar

Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.

mashine...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale

mondi bin awards

Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.

mondi bin awards

Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.

Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mpiga picha maarufu Zanzibar Javed Jafferji aonyesha picha aliyompiga marehemu Princess Diana miaka 20 iliyopita

11136648_10153295745215712_8799672780772721249_n

-Javed Jaffereji  is master of Photographer  for many year. Javed  now stay  in Zanzibar

-He post he special photo and written:

“My favourite picture which I had photographed m, almost twenty years ago when I was a Paparazzi Photographer… The Late Princess Diana at her best during Royal Ascot, races …..”

Professional photographer, Javed Jafferji has journeyed the vast corners of East Africa over the last decade, capturing the essence of this prestigious and extraordinary area. His...

 

10 years ago

GPL

MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI

Kyoko Hamada katika mizunguko yake kama bibi kizee. IMEZOELEKA kuwa binadamu wengi hupenda kuonekana vijana hata kama umri umeenda huku wengine wakitumia baadhi ya vipodozi, dawa za kuficha mvi na kuvaa mavazi yanayofanya waonekane vijana japo si vijana. Mpigapicha Kyoko Hamada (42), yeye aliamua kuwa tofauti na kuishi kwa miaka miwili akijifanya bibi kizee ili kujua hasa wazee wanavyochukuliwa katika jamii. Hamada, ambaye ni...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay

Diamond Platnumz pamoja na dancers wake, wamehojiwa kwa masaa kadhaa kwenye kituo cha polisi cha Oyster Bay jijini Dar es Salaam baada ya kuitwa kwenda kujieleza kutokana na kuvaa sare za jeshi la wananchi Tanzania, JWTZ, kwenye show ya Fiesta, kinyume cha sheria. Diamond Platnumz akitoka nje ya kituo cha polisi Osyter Bay, katikati ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’

h n d

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.

h n d

Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:

Harmonize tattoo

“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki Diamond Platnumz na mpenzi wake waachia nyimbo mpya

Mwanamziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Tanasha Donna wamezindua video ya kibao chao kipya kwa jina ' Gere'.

 

11 years ago

Michuzi

tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana

 Mwenyekiti wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka 37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini...

 

9 years ago

Bongo5

Ivan bado anampenda mno Zari, asema mpambe wake (Picha)

Anaishi maisha ya kifahari, ni tajiri, anamiliki magari ya gharama kubwa, ana mijengo, biashara kibao na ana uwezo wa kumpata msichana yoyote anayemtaka kwa kutumia nguvu ya utajiri wake, lakini Ivan bado hajamsahau Zari the Bosslady aliyezaa naye watoto watatu wa kiume. Kwa mujibu wa mpambe wa King Lawrenc, Ivan ambaye ni raia wa Uganda […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Yawa Gumzo

Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram.

diamond33
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable😍
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani