Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay
Diamond Platnumz pamoja na dancers wake, wamehojiwa kwa masaa kadhaa kwenye kituo cha polisi cha Oyster Bay jijini Dar es Salaam baada ya kuitwa kwenda kujieleza kutokana na kuvaa sare za jeshi la wananchi Tanzania, JWTZ, kwenye show ya Fiesta, kinyume cha sheria. Diamond Platnumz akitoka nje ya kituo cha polisi Osyter Bay, katikati ni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay watoa matibabu ya bure kwa wakazi wa Kerege-Bagamoyo
Rais wa klabu ya Rotary Dar es Salaam Oyster Bay kwa mwaka huu wa 2015-2016, Mohamed Versi akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) katika mji wa Kerege jana Novemba 15. wakati wa zoezi hilo la kambi ya bure ya upimaji wa afya. (Picha zote na Andrew Chale ).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO] Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay, kwa mara nyingine tena imeendesha matibabu katika kambi maalum ya matibabu ya bure katika mji wa Kerege uliopo Bagamoyo, Mkoani...
9 years ago
TheCitizen15 Nov
Letters from my fatherland: Oyster Bay hangouts
9 years ago
Bongo505 Jan
Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’
![h n d](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/h-n-d-300x194.jpg)
Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...
9 years ago
Bongo516 Dec
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake
![dai n zar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/dai-n-zar-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
mashine...
9 years ago
Bongo516 Oct
P-Square na Fally Ipupa walitamani kuwachukua dancers wa Diamond
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EjUeuNq8WSE/U3UohusXc6I/AAAAAAAFh-g/g8sDTRZPhJw/s72-c/10155463_10152864461700283_8339262066140438611_n.jpg)
9 years ago
Bongo Movies06 Jan
Picha Hii ya Diamond na Mtoto wake Tiffah Yawa Gumzo
Picha hii ya mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akiwa amem-kiss mtoto wake Tiffah yazua mjadala kwenye mtandao wa instagram.
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable”
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake...
10 years ago
Vijimambo