Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay watoa matibabu ya bure kwa wakazi wa Kerege-Bagamoyo
Rais wa klabu ya Rotary Dar es Salaam Oyster Bay kwa mwaka huu wa 2015-2016, Mohamed Versi akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) katika mji wa Kerege jana Novemba 15. wakati wa zoezi hilo la kambi ya bure ya upimaji wa afya. (Picha zote na Andrew Chale ).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO] Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay, kwa mara nyingine tena imeendesha matibabu katika kambi maalum ya matibabu ya bure katika mji wa Kerege uliopo Bagamoyo, Mkoani...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Nov
KLABU YA ROTARY YA DAR ES SALAAM OYSTERBAY WATOA MATIBABU YA BURE KWA WAKAZI WA KEREGE-BAGAMOYO
![DSC_1602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_1602.jpg)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO] Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay, kwa mara nyingine tena imeendesha matibabu katika kambi maalum ya matibabu ya bure katika mji wa Kerege uliopo Bagamoyo, Mkoani Pwani.
Kambi...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Zaidi ya wakazi 700 wa Kerege wamenufaika na huduma ya matibabu ya bure kutoka klabu ya Rotary ya Oysterbay Dar
Mgeni rasmi Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt.. Shukuru Kawambwa akiwasili katika eneo la matibabu.
Wananchi wa kijiji cha Kerege wamenufaika na huduma ya bure ya matibabu inayotolewa na klabu ya Rotary ya Oster Bay ya jijini Dar es Salaam kila mwaka katika shule ya msingi ya Kerege-Bagamoyo.
Akizungumza na wanahabari waliofika kujionea aina ya huduma za matibabu zinazotolewa na klabu hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa,mbunge wa Bagamoyo , Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi akiwa kama...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Wakazi zaidi ya 700 Kerege wanufaika na huduma ya matibabu ya bure kutoka Rotary club
Mgeni rasmi Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt.. Shukuru Kawambwa akiwasili katika eneo la matibabu.
Wananchi wa kijiji cha Kerege wamenufaika na huduma ya bure ya matibabu inayotolewa na klabu ya Rotary ya Oster Bay ya jijini Dar es Salaam kila mwaka katika shule ya msingi ya Kerege-Bagamoyo.
Akizungumza na wanahabari waliofika kujionea aina ya huduma za matibabu zinazotolewa na klabu hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa,mbunge wa Bagamoyo , Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi akiwa kama...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Rotary Dar Oysterbay yatoa matibabu bure Kerege
KLABU ya Rotary ya Dar es Salaam Oysterbay kupitia miradi ya huduma kwa jamii yenye lengo la kuboresha afya, imetoa matibabu ya bure kwa wakazi zaidi ya 700 wa Kijiji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxXkLGJZ-2c/XsAnRnt3MMI/AAAAAAALqfI/UAyQtzsIWZ8e4jY580hdEsZvl3aFDRrtwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bb50332-4927-4ead-9a73-381cbdc824d7.jpg)
KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Raha kwa wakazi wa Dar es Salaam, Bagamoyo
10 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay
9 years ago
TheCitizen15 Nov
Letters from my fatherland: Oyster Bay hangouts
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...