Rotary Dar Oysterbay yatoa matibabu bure Kerege
KLABU ya Rotary ya Dar es Salaam Oysterbay kupitia miradi ya huduma kwa jamii yenye lengo la kuboresha afya, imetoa matibabu ya bure kwa wakazi zaidi ya 700 wa Kijiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Nov
KLABU YA ROTARY YA DAR ES SALAAM OYSTERBAY WATOA MATIBABU YA BURE KWA WAKAZI WA KEREGE-BAGAMOYO
![DSC_1602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_1602.jpg)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO] Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay, kwa mara nyingine tena imeendesha matibabu katika kambi maalum ya matibabu ya bure katika mji wa Kerege uliopo Bagamoyo, Mkoani Pwani.
Kambi...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Zaidi ya wakazi 700 wa Kerege wamenufaika na huduma ya matibabu ya bure kutoka klabu ya Rotary ya Oysterbay Dar
Mgeni rasmi Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt.. Shukuru Kawambwa akiwasili katika eneo la matibabu.
Wananchi wa kijiji cha Kerege wamenufaika na huduma ya bure ya matibabu inayotolewa na klabu ya Rotary ya Oster Bay ya jijini Dar es Salaam kila mwaka katika shule ya msingi ya Kerege-Bagamoyo.
Akizungumza na wanahabari waliofika kujionea aina ya huduma za matibabu zinazotolewa na klabu hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa,mbunge wa Bagamoyo , Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi akiwa kama...
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay watoa matibabu ya bure kwa wakazi wa Kerege-Bagamoyo
Rais wa klabu ya Rotary Dar es Salaam Oyster Bay kwa mwaka huu wa 2015-2016, Mohamed Versi akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) katika mji wa Kerege jana Novemba 15. wakati wa zoezi hilo la kambi ya bure ya upimaji wa afya. (Picha zote na Andrew Chale ).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO] Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam Oyster Bay, kwa mara nyingine tena imeendesha matibabu katika kambi maalum ya matibabu ya bure katika mji wa Kerege uliopo Bagamoyo, Mkoani...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Wakazi zaidi ya 700 Kerege wanufaika na huduma ya matibabu ya bure kutoka Rotary club
Mgeni rasmi Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt.. Shukuru Kawambwa akiwasili katika eneo la matibabu.
Wananchi wa kijiji cha Kerege wamenufaika na huduma ya bure ya matibabu inayotolewa na klabu ya Rotary ya Oster Bay ya jijini Dar es Salaam kila mwaka katika shule ya msingi ya Kerege-Bagamoyo.
Akizungumza na wanahabari waliofika kujionea aina ya huduma za matibabu zinazotolewa na klabu hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa,mbunge wa Bagamoyo , Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi akiwa kama...
9 years ago
Bongo509 Nov
Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar
![10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n-300x194.jpg)
Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo
Taasisi hiyo, inayofanya kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HChpUr1rla8/XnJL_mIKIwI/AAAAAAALkU8/zVi-NrGMzyQfX56Z8dW0C3kADpiabL5aQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
11 years ago
Habarileo15 May
‘Vipimo, matibabu homa ya denge ni bure’
WANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kwenda katika hospitali za Serikali wanapohisi dalili za ugonjwa wa denge, kwa kuwa matibabu hutolewa bure wakati Serikali ikijiandaa kusambaza vifaa vya kupimia ugonjwa katika wilaya zote nchini.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s72-c/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
UANGALIZI WA FYA NA MATIBABU WA BURE DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s640/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Watanzania wapate matibabu bure — Mjumbe
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Joyce Mwasa, amesema Katiba mpya inatakiwa kutambua haki ya utoaji wa huduma ya afya bure kwa Watanzania wote bila kujali umri wa mtu. Joyce...