Watanzania wapate matibabu bure — Mjumbe
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Joyce Mwasa, amesema Katiba mpya inatakiwa kutambua haki ya utoaji wa huduma ya afya bure kwa Watanzania wote bila kujali umri wa mtu. Joyce...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s72-c/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
UANGALIZI WA FYA NA MATIBABU WA BURE DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s640/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
11 years ago
Habarileo15 May
‘Vipimo, matibabu homa ya denge ni bure’
WANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kwenda katika hospitali za Serikali wanapohisi dalili za ugonjwa wa denge, kwa kuwa matibabu hutolewa bure wakati Serikali ikijiandaa kusambaza vifaa vya kupimia ugonjwa katika wilaya zote nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s72-c/unnamed.jpg)
DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO
![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iYgpoawGKBA/VUktPeBlVgI/AAAAAAAHVmw/HBdV--OBFM8/s640/unnamedmmm.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
Vijimambo13 May
Wazee wapewa vitambulisho vya matibabu bure Kibaha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/rashid-13May2015.jpg)
Mji wa Kibaha mkoani Pwani, umegawa vitambulisho maalum vya matibabu kwa wazee wenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea vitakavyowawezesha kupatiwa matibabu bure.
Ugawaji wa vitambulisho hivyo ulizinduliwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha, Jeniffer Omolo, mjini hapa jana.
Hatua hiyo inafuatia siku chache baada ya serikali kutoa agizo kwa halmashauri zote nchini kuwatambua wazee wastaafu hususan wenye umri wa kuanzia miaka 60 na...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Rotary Dar Oysterbay yatoa matibabu bure Kerege
KLABU ya Rotary ya Dar es Salaam Oysterbay kupitia miradi ya huduma kwa jamii yenye lengo la kuboresha afya, imetoa matibabu ya bure kwa wakazi zaidi ya 700 wa Kijiji...
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar
![10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n-300x194.jpg)
Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo
Taasisi hiyo, inayofanya kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s72-c/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
NHIF YAZINDUA HUDUMA ZA MATIBABU ZINAZOTOLEWA BURE NA MADAKTARI BINGWA-TABORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-e1lpdEO_e64/VPRxz3uhFWI/AAAAAAAAMdY/xtkPLd7OIXU/s1600/NHIF%2BTABORA.5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DAusR2we7DY/VPRw8wZCiBI/AAAAAAAAMdI/i59TF8Und3w/s1600/NHIF%2BTABORA.3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aY2L5iPTmPM/VPRwoq4HKCI/AAAAAAAAMdA/LYUiHUkZcO8/s1600/NHIF%2BTABORA.2.jpg)
5 years ago
MichuziZanzibar kuendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure pamoja na kuwasafirisha Wagonjwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed huko Hospitali ya Rufaa Mnazi mmoja katika Wodi ya Wagonjwa wa Ngozi .
Alisema Serikali haijashindwa kuwahudumia wananchi wake hivyo si vyema kuisambaza picha ya Mgonjwa katika mitandao ya kijamii kwa nia ya kutafuta michango ya wafadhili...