KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKINANA ASAFIRI KWA BODABODA KWENDA KUKIOKOA KIJIJI CHA ILYAMCHELE KISICHOKUWA NA SHULE WILAYANI BUKOMBE
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Masaa 14 ya safari ya Kinana Ziwa Tanganyika
![](http://2.bp.blogspot.com/-vEtGIaLPUx4/U0rw4mqWsqI/AAAAAAAANIE/BuQ7k3nxfMY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka mkoa wa Kigoma kuelekea Karema mkoani Katavi kwa siku nne.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfGbisZF4NM/U0rw-1MoFFI/AAAAAAAANIM/CBMkWgOOe-w/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kijiji cha Sigunga wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipowasili kijijini hapo kuzungumza wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,wengine wanaonekana kwenye picha ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Ali Abeid Karume.
![ccm 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/ccm-12.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCsSPNqv7XM/VRv9YDkIxxI/AAAAAAAAR0s/HUhhKmoE9Ws/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA KASI KWENDA KIGOMA YAZINDULIWA, ITATUMIA MASAA 6 PUNGUFU YA ILE YA ZAMANI "KUTUA MWISHO WA RELI"
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCsSPNqv7XM/VRv9YDkIxxI/AAAAAAAAR0s/HUhhKmoE9Ws/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
11 years ago
MichuziPINDA ASAFIRI KWA TRENI KWENDA READING KUZUNGUMZA NA WATANZANIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipanda treni kutoka Reading kwenda London Uingereza baada ya kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
VijimamboBAADHI YA MAENEO MENGINE YALIKUMBWA NA MAFURIKO HUKO ZANZIBAR BAADA YA MVUA YA MASAA MANANE MFULULIZO
Posta ya Kijangwani hakuna alietuma wa kupokea barua, ni kizaizai tu
Hii inanikumbusa sunami iliyotokea Indonesia ilikushanya marundo ya mataka kama hivi
Kiwanja cha kufurahishia watoto kikiwa kimejaa maji kote, Marry Go Round ikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MAALIM SEIF ASAFIRI KWA BOTI KWENDA DAR NA KURUDI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nVhwnWoCPF8/VYKuBfJbMkI/AAAAAAAHg4s/0sCF9rL_omc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyQgqhVbuRE/XvB0SBd_cBI/AAAAAAAAlNo/eCQL7XUi-Gcytw-i44JFf675RnsJAekKwCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mqrGAsN7MKU/XvB0SAxv68I/AAAAAAAAlNk/vVFsMAzpvowAmdPfnDJioSP3Rors3LOmgCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9H745EJRBJQ/XvB0W5G6CRI/AAAAAAAAlNs/VDCsFfBo9QUq4zWavfUXK7UEkhcapxlpgCLcBGAsYHQ/s640/4.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s72-c/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ASAFIRI KWA GARI TOKA DODOMA KWENDA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-7deyA4RdEQI/VlGrqcbO8hI/AAAAAAAIHvc/RMp4d9BfZSw/s640/e26121f6-4093-4c72-8361-ea2fe0d3036d.jpg)
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ZUMA, KIKWETE WAKUTANA KWA MASAA MAWILI
RAIS Jakaya Kikwete amekutana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma na kufanya mazungumzo ya ndani na kiongozi huyo aliyewasili nchini juzi.
Rais Zuma aliwasili Ikulu Dar es Salaam jana majira ya saa 4 asubuhi na kupokewa na Rais Kikwete kabla ya kufanya mazungumzo hayo yaliyochukua takribani saa moja na dakika 45.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Dar es Salaam jana, ilibainisha kuwa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili, yalihusu uhusiano kati ya Tanzania na Afrika...