MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI
![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDObF*Re82R8Ck89kZezXYbEByWCwdDx95p1AjSyktucdvrdQ*2kzsglSXTQHkdH2wTroXuzb6g70XxDCe4yRAs/3.jpg?width=650)
Kyoko Hamada katika mizunguko yake kama bibi kizee. IMEZOELEKA kuwa binadamu wengi hupenda kuonekana vijana hata kama umri umeenda huku wengine wakitumia baadhi ya vipodozi, dawa za kuficha mvi na kuvaa mavazi yanayofanya waonekane vijana japo si vijana. Mpigapicha Kyoko Hamada (42), yeye aliamua kuwa tofauti na kuishi kwa miaka miwili akijifanya bibi kizee ili kujua hasa wazee wanavyochukuliwa katika jamii. Hamada, ambaye ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mpiga picha maarufu Zanzibar Javed Jafferji aonyesha picha aliyompiga marehemu Princess Diana miaka 20 iliyopita
-Javed Jaffereji is master of Photographer for many year. Javed now stay in Zanzibar
-He post he special photo and written:
“My favourite picture which I had photographed m, almost twenty years ago when I was a Paparazzi Photographer… The Late Princess Diana at her best during Royal Ascot, races …..”
Professional photographer, Javed Jafferji has journeyed the vast corners of East Africa over the last decade, capturing the essence of this prestigious and extraordinary area. His...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSlq*9Uvgu-Sbs6AT4GSqYwcv9u-wsplvn9RGqrBBLnTblaCjx9Ccv-2xeFS93f6zYlcEblSaPTHu-zLjO8XoXX/bibi.jpg)
BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRuXzAl-pfFh-onLsE-lJDQgSDMi0z1TwT*UF5HsThA6b6rky8pzAukwStl-ovXtYo08kN3xpCURWjuamtQVLae/BAKUWAZI.jpg?width=650)
BIBI KIZEE ATAJWA GHARIKA KAHAMA
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Bibi kizee aanguka akiwa anasafiri angani
Na Kadama Malunde, Shinyanga
KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina.
Akielezea tukio hilo jana, Mwandu alisema lilitokea nje ya nyumba ambapo alishangazwa kumkuta...
11 years ago
CloudsFM25 Jun
BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA
Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...
9 years ago
Bongo516 Dec
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake
![dai n zar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/dai-n-zar-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
mashine...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s72-c/IMG_1080.jpg)
tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana
![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s1600/IMG_1080.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZSTNFVic7w/Uu_q1ViZuZI/AAAAAAAFKtk/_Mrav64BmG4/s1600/IMG_1084.jpg)
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s72-c/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s320/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...