Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!

Stori: Mwandishi Wetu, Songea
Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BIBI KIZEE ATAJWA GHARIKA KAHAMA

Na Issa Mnally, Kahama
MENGI yamesemwa na yanaendelea kusemwa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama, Shinyanga na kuua watu 45 huku wengine 92 wakijeruhiwa, achilia mbali waliopoteza makazi yao.
Habari za hivi karibuni zinadai kuwa, mvua hiyo licha ya kutabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) lakini wakazi wa maeneo hayo wanaamini ina mkono wa bibi kizee ‘kikongwe’ mmoja ambaye hakutajwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Bibi kizee aanguka akiwa anasafiri angani

SAM_2318Na Kadama Malunde, Shinyanga

KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina.
Akielezea tukio hilo jana, Mwandu alisema lilitokea nje ya nyumba ambapo alishangazwa kumkuta...

 

11 years ago

CloudsFM

BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA

Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...

 

10 years ago

GPL

MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI

Kyoko Hamada katika mizunguko yake kama bibi kizee. IMEZOELEKA kuwa binadamu wengi hupenda kuonekana vijana hata kama umri umeenda huku wengine wakitumia baadhi ya vipodozi, dawa za kuficha mvi na kuvaa mavazi yanayofanya waonekane vijana japo si vijana. Mpigapicha Kyoko Hamada (42), yeye aliamua kuwa tofauti na kuishi kwa miaka miwili akijifanya bibi kizee ili kujua hasa wazee wanavyochukuliwa katika jamii. Hamada, ambaye ni...

 

10 years ago

Habarileo

Ajiandalia maziko miaka 14 sasa

Mkazi wa Sumbawanga, Gilbert Paul akiwa ndani ya kibanda chake cha kazi kilichopo Mtaa wa Sasala mjini Namanyere wilayani Nkasi huku akiwa amesimika msalaba alioutengeneza mwenyewe kwa ajili ya kaburi lake. Picha ndogo akiwa na mkewe na mtoto wake. (Picha na Peti Siyame).KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mkazi wa mjini Namanyere wilayani hapa mkoa wa Rukwa, Gilbert Paul (37) aliyejiandalia maziko yake miaka 14 iliyopita, bado yu hai.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kizee chauawa kwa kudaiwa mchawi, India

Bibi kizee mmoja amenyongwa hadi kufa na wanakijiji wenzake kwa tuhuma za ushirikina, kaskazini mashariki mwa India.

 

10 years ago

GPL

CHUCHU AZIRAI NDANI YA JENEZA

IMELDA MTEMA/Amani HII ni kali ya mwaka! Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu, Amani limeinyaka. Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans akiwa kwenye jeneza. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza...

 

10 years ago

GPL

Y-TONY: KUPANDA JUKWAANI NA JENEZA NI UBUNIFU TU

LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye mwanamuziki Elly Michael Kilema ‘Y Tony’ kijana anayekuja kwa kasi na wimbo wake unaofahamika kama ‘masebene’ anafanya vema sana kupitia staili ya uimbaji wake. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Y-Tony akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano… ...

 

10 years ago

GPL

LADY JAYDEE AJICHAGULIA JENEZA LA PILI

Mwandishi wetu
Uchuro? Baada ya kutundika mtandaoni kwa mara nyingine picha za jeneza alilojiandalia litakalotumika siku akiaga dunia, mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide, amelaaniwa vikali na mashabiki wake kwa kitendo hicho. Mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide. ABADILI RANGI
Mwaka 2012, Jide alitupia mtandaoni picha za jeneza lake lenye mchanganyiko wa rangi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani