CHUCHU AZIRAI NDANI YA JENEZA
![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9zn28TM292GiMko3lnN3fRjpZUmRzvl0iVX7vauXJDwpqTKx9siNNAmB16durDOVxCMYMbbxyyjV7-AJk9UlS-4/chuchu.jpg)
IMELDA MTEMA/Amani HII ni kali ya mwaka! Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu, Amani limeinyaka. Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans akiwa kwenye jeneza. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Hapa na Pale: Chuchu Azirai Ndani ya Jeneza!
Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza nafasi ya mwanakwaya naye alipoteza fahamu wakati kipande hicho kikirekodiwa.
Chanzo kimoja kutoka ndani ya kundi la wasanii waliokuwa wakiigiza filamu kililiambia Gazeti la Amani kuwa, Chuchu alikumbwa na hali hiyo...
10 years ago
Bongo516 Feb
Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka
Inasemekana penzi kati ya waigizaji Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.
Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.
Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Bafetimbi Gomis azirai uwanjani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
GWAJIMA AZIRAI AKIHOJIWA NA POLISI, NI KUFUATIA MANENO YA KASHFA DHIDI YA KADINALI PENGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pnoiM0-Y6S8/VRY5LrxGAMI/AAAAAAAARrc/Dc3kkU_MJ58/s640/Josephat%2BGwajima.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gm3V9mscam4/VRY5L7r8KYI/AAAAAAAARrk/apJSPbrvsL0/s640/Gwajima2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DvFn21LrTys/VRY5XdsFPWI/AAAAAAAARrw/Fm687Ymv2mk/s640/gwaji.jpg)
Kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amezirai Ijumaa...
11 years ago
Michuzi06 May
MKE AZIRAI BAADA YA KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO YEYE NA MUMEWE
baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela
Watu wawili wa familia moja Frank Charles na mkewe Asia Khamis wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi. Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Mbeya Maria Batulaine amewatia hatiani wanandoa hao baada ya kuridhishwa na ushahidi usio shaka wa mashahidi wanne wa upande wa mashitaka. Imedaiwa na Mwendesha mashitaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSlq*9Uvgu-Sbs6AT4GSqYwcv9u-wsplvn9RGqrBBLnTblaCjx9Ccv-2xeFS93f6zYlcEblSaPTHu-zLjO8XoXX/bibi.jpg)
BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Christos: Alikesha kuchonga jeneza la Sokoine