Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christos: Alikesha kuchonga jeneza la Sokoine

 Miongoni mwa Watanzania wenye matukio ya kukumbuka katika uhai na kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Edward Moringe Sokoine ni George Christos (81)

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pluijm aanza kuchonga

Pluijm1NA OSCAR ASSENGA, TANGA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm ameanza kuchonga kutokana na ushindi waliopata dhidi ya African Sports juzi ambapo amesema umesaidia kuwapa nguvu ya kuendeleza kasi yao katika mechi zinazofuata na kuendelea kubaki kileleni.

Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, juzi waliibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya African Sports katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bao la pekee lililofungwa dakika za lala salama na kiungo Mzimbabwe,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni — Malindi

IMG-20150205-WA0092

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.

Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

 

10 years ago

Michuzi

MHE. SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI - MALINDI

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Mhe. Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao leo.  Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi. Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

 

10 years ago

GPL

CHUCHU AZIRAI NDANI YA JENEZA

IMELDA MTEMA/Amani HII ni kali ya mwaka! Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu, Amani limeinyaka. Staa wa sinema za Bongo, Chuchu Hans akiwa kwenye jeneza. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza...

 

11 years ago

GPL

BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA!

Stori: Mwandishi Wetu, Songea
Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano...

 

10 years ago

GPL

LADY JAYDEE AJICHAGULIA JENEZA LA PILI

Mwandishi wetu
Uchuro? Baada ya kutundika mtandaoni kwa mara nyingine picha za jeneza alilojiandalia litakalotumika siku akiaga dunia, mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide, amelaaniwa vikali na mashabiki wake kwa kitendo hicho. Mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide. ABADILI RANGI
Mwaka 2012, Jide alitupia mtandaoni picha za jeneza lake lenye mchanganyiko wa rangi ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Apokezwa jeneza lenye mzoga wa Paka

Familia ya afisaa mmoja wa Elimu nchini Kenya imeshangazwa kwa kupata jeneza dogo likiwa limewekwa nje ya mlango wao mjini Kisumu

 

10 years ago

GPL

Y-TONY: KUPANDA JUKWAANI NA JENEZA NI UBUNIFU TU

LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye mwanamuziki Elly Michael Kilema ‘Y Tony’ kijana anayekuja kwa kasi na wimbo wake unaofahamika kama ‘masebene’ anafanya vema sana kupitia staili ya uimbaji wake. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Y-Tony akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza

Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu imemhukumu Bahati Lukas (25) kifungo cha nje miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa jeneza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani