MHE. SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI - MALINDI

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Mhe. Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao leo.
Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.
Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni — Malindi
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.

Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.
10 years ago
Vijimambo
Shy Rose Bhanji ajitolea kukarabati barabara ya mbweni



11 years ago
Michuzi
MHE. SHY ROSE BHANJI ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA



11 years ago
Vijimambo
MHE. SHY-ROSE BHANJI AKANUSHA HABARI ZILIZO ZAGAA MTANDAONI NA KUDAI NI MBINU ZA KUMCHAFUA.

Mimi Shy-Rose Bhanji, Mbunge wa Afrika Mashariki-Tanzania, ninapinga vikali na kwa nguvu zote shutuma zilizotolewa dhidi yangu kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii.Shutuma hizi...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Utovu wa nidhamu wamweka pabaya Shy-Rose Bhanji
WIKI mbili zilizopita kulikuwa na mvutano mkubwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA), ambao ulikwamisha shughuli za Bunge hilo kutokana na baadhi ya wabunge kugomea, wakitaka kwanza mbunge kutoka...
11 years ago
Dewji Blog05 May
Shy Rose Bhanji asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Bweni Dar es Salaam. (Photos by: MD Digital Company +255 755 373999).

Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki…

Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ester...
11 years ago
Michuzi
Bid to expel Shy Rose Bhanji from EALA flop

10 years ago
Vijimambo
SHY-ROSE BHANJI ALONGA NA WANAHABARI DAR LEO


10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
*Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...