Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015

Bana (1)

*Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13

Na Andrew Chale

MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.

Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

..Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’. Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa  Lady in red,...

 

10 years ago

Vijimambo

SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...

 

10 years ago

Michuzi

Bid to expel Shy Rose Bhanji from EALA flop

Suspension of a member of the East African Legislative Assembly from Tanzanian, Shy Rose Bhanji (pictured), from the Assembly’s commission was last evening halted due to lack of quorum minutes before members could cast their votes.The Assembly had shelved the first business on the order paper to debate a motion that sought to review the rules of procedure that had been interrupted in March to prioritise Bhanji’s suspension.But just as members were readying themselves to vote by way of secret...

 

11 years ago

Dewji Blog

Shy Rose Bhanji asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Untitled 1

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Bweni Dar es Salaam. (Photos by: MD Digital Company +255 755 373999).

Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki…

Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ester...

 

10 years ago

Vijimambo

Shy Rose Bhanji ajitolea kukarabati barabara ya mbweni

Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao leo.Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.LUKAZA:BLOG

 

10 years ago

Vijimambo

SHY-ROSE BHANJI ALONGA NA WANAHABARI DAR LEO

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji akizungumza na waandishi wa habari hii leo. Kulia ni Mbunge mwenzake wa EALA kutoka Tanzania, Twaha Isa Tasilima.Shy-Rose Bhanji akionesha moja ya picha za makamishna waliodai kujiuzulu nyadhifa zao lakini bado walikuwa wakiongoza kamati zao. Picha kwa hisani ya Father KidevuTaarifa Kutoka Kwa Mbunge Wa Bunge La Afrika La Afrika Mashariki

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utovu wa nidhamu wamweka pabaya Shy-Rose Bhanji

WIKI mbili zilizopita  kulikuwa na mvutano mkubwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA), ambao ulikwamisha shughuli za Bunge hilo kutokana na baadhi ya wabunge kugomea, wakitaka kwanza mbunge kutoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shy Rose Bhanji ajitolea kuchonga barabara ya Mbweni — Malindi

IMG-20150205-WA0092

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.

Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani