Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHE SHYROSE BHANJI MGENI RASMI LADY IN RED FASHION SHOW 2015


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...

 

10 years ago

GPL

SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

..Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’. Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa  Lady in red,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015

Bana (1)

*Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13

Na Andrew Chale

MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.

Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Lady in red 2014 fashion show ilivyonoga

Miss Tanzania kwa mwaka 2013 na 2014 Hapiness Watimanywa akipozi katika Red Carpet ya Lady in Red Fashion show 2014 iliyofanyika Ijumaa katika ukumbi wa Serena jijini Dar es salaam
Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin  Mwandaaji wa onesho hilo
Mbunge mteule wa Bunge la Katiba Mhe Maria Sarungi-Tehai akihojiwa na Deo wa Nivana wa East Afrika Television aliyekuwa MC wa siku.
Asia akimkabidhi ua mumewe Bw. Khamsin
Kwa picha zaidi za Habari5 Blog BOFYA HAPA Pia BOFYA HAPA

 

10 years ago

CloudsFM

Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua

Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...

 

10 years ago

Mwananchi

Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki

Kwa siku zaidi ya 10 sasa, Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeshindwa kuendelea na vikao vyake mjini hapa kutokana na wabunge wake kugomea vikao hivyo vya mkutano wa pili, wakishinikiza kuchukukuliwa hatua kwanza kwa mmoja wa wabunge wake, Shy-Rose Bhanji wa Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

#MBAR2015 Eleganza Fashion show Red carpet swagga and After Party @ Dar es Salaam Serena Hotel

DSC_0359

Warembo waalikwa katika pozi la Ukodak.

DSC_0346

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz,  Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akipozi kwa picha na binti mrembo (katikati) aliyembatana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Tulip, Bw. Aatish Ladwa (kulia).

DSC_0349

DSC_0362

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (kushoto) akipozi na msaidizi wake.

DSC_0364

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao

1069410_488216681262565_60269170_n

 

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu  mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.

Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook,  wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani