MHE SHYROSE BHANJI MGENI RASMI LADY IN RED FASHION SHOW 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-mGal7DikqDU/VNaZzuUwiRI/AAAAAAAHCZs/UF2ucM92scM/s72-c/unnamed.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s72-c/Bana.jpg)
SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s1600/Bana.jpg)
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*aoAK9WGmxPd*o2VXPb10lYPiMJva*QlYWggeMmoMTW*OS33N5ypDfsPWaUccjwOelOn-qqmaVqsNlVwCaLL8-L/Bana.jpg?width=650)
SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
*Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...
11 years ago
Michuzi16 Feb
11 years ago
MichuziLady in red 2014 fashion show ilivyonoga
Kwa picha zaidi za Habari5 Blog BOFYA HAPA Pia BOFYA HAPA
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua
Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.
‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
#MBAR2015 Eleganza Fashion show Red carpet swagga and After Party @ Dar es Salaam Serena Hotel
Warembo waalikwa katika pozi la Ukodak.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz, Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akipozi kwa picha na binti mrembo (katikati) aliyembatana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Tulip, Bw. Aatish Ladwa (kulia).
Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (kushoto) akipozi na msaidizi wake.
Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.
Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...