Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

..Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’. Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa  Lady in red,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015

Bana (1)

*Kufanyika Nyumbani Lounge  Ijumaa Februari 13

Na Andrew Chale

MBUNGE  wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.

Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...

 

10 years ago

CloudsFM

Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua

Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...

 

11 years ago

Mwananchi

Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki

Kwa siku zaidi ya 10 sasa, Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeshindwa kuendelea na vikao vyake mjini hapa kutokana na wabunge wake kugomea vikao hivyo vya mkutano wa pili, wakishinikiza kuchukukuliwa hatua kwanza kwa mmoja wa wabunge wake, Shy-Rose Bhanji wa Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao

1069410_488216681262565_60269170_n

 

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu  mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.

Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook,  wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...

 

10 years ago

Vijimambo

LADY IN RED 2015

Ni tukio ambalo lili wakusanya wapenzi mbalimbali wa mitihndo hapa Tanzania na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na Mh. Shy-Rose ambaye naye alikuwepo kwenye 'Lady in red' 2015 ambayo imefanyika 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day pale Nyumbani Lounge, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni huyo Mbunge wa bunge la Africa Mashariki mh Shy-Rose Banji.
Muandaaji wa tukio hilo ni mwanamitindo mkubwa hapa nchini Asya Idarous Khamsin ambaye naye aliweza kuonyesha mavazi yake ya yenye rangi nyekundu,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh.Shyrose Bhanji awashukuru wote waliomtakia nafuu alipokuwa amelazwa Hospitalini

Pole sana my friend Shy-Rose Bhanji Safari ulikuwa nazo nyingi sana this time. Ni mabadiliko tu ya hali ya hewa muda si mrefu Mnyezi Mungu atakuafu

 

Shyrose Bhanji akiwa na Mwanamuziki wa Lady Jay Dee alipomtembelea wakati amelazwa Hospitaali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale wa 

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji.  Aliyekuwa amelezwa hivi karibuni katika hospitali ya Agha Khan, jijni Dar es Salaam  amewashukuru watu mbalimbali  kwa nafasi zao ikiwemo kumjulia hali ha kumtakia pole wakati alipokuwa amelazwa hospitali kwa siku nne.

Kupitia mtando wake wa kijamii Shyrose alitumia wasaha huo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015

DSC_0006

Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani  Lounge)  siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000  ni kwaanzia saa 2 usiku.

Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani