SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015

Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
*Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua
Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.
‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.
Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...
10 years ago
Vijimambo15 Feb
LADY IN RED 2015
Muandaaji wa tukio hilo ni mwanamitindo mkubwa hapa nchini Asya Idarous Khamsin ambaye naye aliweza kuonyesha mavazi yake ya yenye rangi nyekundu,...
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mh.Shyrose Bhanji awashukuru wote waliomtakia nafuu alipokuwa amelazwa Hospitalini
Shyrose Bhanji akiwa na Mwanamuziki wa Lady Jay Dee alipomtembelea wakati amelazwa Hospitaali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji. Aliyekuwa amelezwa hivi karibuni katika hospitali ya Agha Khan, jijni Dar es Salaam amewashukuru watu mbalimbali kwa nafasi zao ikiwemo kumjulia hali ha kumtakia pole wakati alipokuwa amelazwa hospitali kwa siku nne.
Kupitia mtando wake wa kijamii Shyrose alitumia wasaha huo...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015
Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.
Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...