Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015
Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.
Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](https://lh5.googleusercontent.com/-ezGt3IgQkvw/UQot4aqxDOI/AAAAAAAAbGU/c96tgyI-prM/s72-c/blogger-image--1723282408.jpg)
MAMA WA MITINDO ASiA IDAROUS-KHAMSINI AONGELEA MAANDALIZI YA LADY IN RED KESHO
![](https://lh5.googleusercontent.com/-ezGt3IgQkvw/UQot4aqxDOI/AAAAAAAAbGU/c96tgyI-prM/s640/blogger-image--1723282408.jpg)
11 years ago
MichuziShukurani za Asia Idarous Khamsin kwa kuiunga mkono "Lady in RED" 2014
MAMA wa Mitindo nchini na Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin amewashukuru wadau mbali mbali kwa kuendelea kuliunga mkono onesho la Mitindo la kila mwaka la 'Lady in Red' ambalo kwa mwaka huu limetimiza miaka 10 tokea kuanzishwa kwake huku likiwa la mafanikio kwa kuibua wanamitindo wakubwa hapa nchini.
Akizungumza Dar es salaam, katika ofisi za Fabak zilizopo Msasani jirani na Kwa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, Asia Idarous...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
ASYA IDAROUS AZUNGUMZA NA WANAHABARI
![](http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2015/02/proxy1-700x336.jpg)
Asiya Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.Leo Asya na timuyake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TNWEnTPt7mg/VGz6eoxIOHI/AAAAAAADNvc/YCj54B7MK0s/s72-c/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jCmE7Ld3CWI/VHjsdzfFwTI/AAAAAAAG0EA/tBaJpH53w5Y/s72-c/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
ASIA IDAROUS KHAMSIN ANAKULETEA RED CARPET NA USIKU WA KHANGA PARTY LEO SAFARI CARNIVAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-jCmE7Ld3CWI/VHjsdzfFwTI/AAAAAAAG0EA/tBaJpH53w5Y/s1600/KHANGA%2BPARTY%2BA3.jpg)
Na Andrew Chale
USIKU maalum wa kuenzi vazi la Khanga na magwiji wa taarab nchini 'Usiku wa Khanga Party na Spice Modern Taarab' unapotarajia kulindima usiku wa leo Novemba 29 ndani ya Ukumbi wa Safari Carnival, Mikocheni B, karibu na daraja la Kawe, na kusindikizwa na gwiji wa mipasho Khadija Kopa pamoja na Bilal Mashauzi. Kwa mujibu wa Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin amebainisha kuwa kwa ushirikiano wa Fabak Fashions na Safari Carnival wameandaa usiku huo maalum kuenzi vazi la...
10 years ago
Vijimambo15 Feb
LADY IN RED 2015
Muandaaji wa tukio hilo ni mwanamitindo mkubwa hapa nchini Asya Idarous Khamsin ambaye naye aliweza kuonyesha mavazi yake ya yenye rangi nyekundu,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s72-c/Bana.jpg)
SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s1600/Bana.jpg)
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
*Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*aoAK9WGmxPd*o2VXPb10lYPiMJva*QlYWggeMmoMTW*OS33N5ypDfsPWaUccjwOelOn-qqmaVqsNlVwCaLL8-L/Bana.jpg?width=650)
SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015