MAMA WA MITINDO ASiA IDAROUS-KHAMSINI AONGELEA MAANDALIZI YA LADY IN RED KESHO
![](https://lh5.googleusercontent.com/-ezGt3IgQkvw/UQot4aqxDOI/AAAAAAAAbGU/c96tgyI-prM/s72-c/blogger-image--1723282408.jpg)
Mama wa Mitindo Asia Idarius- Khamsin (pichani) akiongea na Vijimambo Blog mapema leo akizungumuzia onesho la miaka 10 la Lady in Red litakalofanyika hoteli ya Serena jijini DAr es salaam kesho Ijumaa Feb 14, 2014 maalum kwenye siku ya wapendanao maandalizi yanaelekea ukingoni hebu msikilize hapo chini
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hr4nKqFv9fA/Vd7LV-Etd1I/AAAAAAAD4xs/EKlwvdzWK58/s72-c/5a11276a3e0d35e93ad6c2fbda623af6%2B%25282%2529.jpg)
MAMA WA MITINDO ASYA IDAROUS KHAMSINI ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC
![](http://4.bp.blogspot.com/-hr4nKqFv9fA/Vd7LV-Etd1I/AAAAAAAD4xs/EKlwvdzWK58/s640/5a11276a3e0d35e93ad6c2fbda623af6%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-V0x5vqGHPDA/Vd7LV-NbshI/AAAAAAAD4xo/L7btvl4o0r4/s640/f1449c6bc15d404e96dfd97707f504fd%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
![IMG_3895](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_3895.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...
10 years ago
Dewji Blog27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
Na Mwandishi Wetu
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:
Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015
Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.
Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...
10 years ago
VijimamboMama wa mitindo Asia Idarous Khamsin apata tuzo
![](http://4.bp.blogspot.com/-VQtk8j9RkuA/VIWnu89BDUI/AAAAAAAG2Ck/rsxQOelD9Nw/s640/IMG-20141208-WA0005.jpg)
11 years ago
MichuziShukurani za Asia Idarous Khamsin kwa kuiunga mkono "Lady in RED" 2014
MAMA wa Mitindo nchini na Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin amewashukuru wadau mbali mbali kwa kuendelea kuliunga mkono onesho la Mitindo la kila mwaka la 'Lady in Red' ambalo kwa mwaka huu limetimiza miaka 10 tokea kuanzishwa kwake huku likiwa la mafanikio kwa kuibua wanamitindo wakubwa hapa nchini.
Akizungumza Dar es salaam, katika ofisi za Fabak zilizopo Msasani jirani na Kwa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, Asia Idarous...
10 years ago
Michuzi20 Mar
MAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KUPAMB SIKU YA MWANAMKE DUNIANI ZANZIBAR MACHI 22
![11072283_933753296658934_392071823375109477_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/11072283_933753296658934_392071823375109477_n.jpg)
Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo akiwa sambamba na ...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Mama wa mitindo Asia Idarous kupamba siku ya Mwanamke Duniani Zanzibar Machi 22
..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarab
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Machi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.
Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vYRF7gjekqA/VIs_DI5JVmI/AAAAAAAG2yY/DDxyJwwatIw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MNUSO WA KUMPONGEZA MAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KHAMSIN KWA KUNYAKUA TUZO YA LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYRF7gjekqA/VIs_DI5JVmI/AAAAAAAG2yY/DDxyJwwatIw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--DMLkPe0PvM/VIs_bUgrUNI/AAAAAAAG20s/w8iXY36ZoEI/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-em_KXK4SOL4/VIs_SrHRzpI/AAAAAAAG2yg/6jh98y1E4II/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EE3_yHNTlfk/VIs_S9P75kI/AAAAAAAG2ys/6nfjHwwkNEk/s1600/unnamed%2B(11).jpg)