LADY IN RED 2015
Ni tukio ambalo lili wakusanya wapenzi mbalimbali wa mitihndo hapa Tanzania na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na Mh. Shy-Rose ambaye naye alikuwepo kwenye 'Lady in red' 2015 ambayo imefanyika 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day pale Nyumbani Lounge, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni huyo Mbunge wa bunge la Africa Mashariki mh Shy-Rose Banji.
Muandaaji wa tukio hilo ni mwanamitindo mkubwa hapa nchini Asya Idarous Khamsin ambaye naye aliweza kuonyesha mavazi yake ya yenye rangi nyekundu,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s72-c/Bana.jpg)
SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s1600/Bana.jpg)
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Asia Idarous azungumza na wanahabari kuhusiana na Lady in Red 2015
Asia Idarous Khamsin Fabak Fashions ikishirikiana na Fashion news Tanzania inawaletea Lady in Red 2015, katika ukumbi wa Mog Bar ( Nyumbani Lounge) siku ya Ijumaa Tarehe 13 february 2015 usiku wa kuamkia Vallentine Day kwa kiingilio cha buku kumi aka 10000 na VIP 20000 ni kwaanzia saa 2 usiku.
Leo Asia na timu yake ya maandalizi ya Lady in Red 2015 wamekutana na wanahabari Mog Bar na kuzungumzia mwenendo mzima wa Show hiyo kubwa ya kipekee ambayo hufanyika kila mwaka kwa kukuza ubunifu...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Mh. Shy rose Bhanji mgeni rasmi usiku wa Lady in Red 2015
*Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo mbalimbali pamoja na wabunifu tofauti katika redcapert...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*aoAK9WGmxPd*o2VXPb10lYPiMJva*QlYWggeMmoMTW*OS33N5ypDfsPWaUccjwOelOn-qqmaVqsNlVwCaLL8-L/Bana.jpg?width=650)
SHY ROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mGal7DikqDU/VNaZzuUwiRI/AAAAAAAHCZs/UF2ucM92scM/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LFj6PgMFKBs/VN29MNuFKCI/AAAAAAAHDdQ/niRJaaB3dqM/s72-c/IMG-20150213-WA0001.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Feb
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Halfa ya Miaka 10 ya Lady in Red yafana
HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya Onesho la Mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ ilifana juzi usiku kwa kuvutia watu mbalimbali ndani ya Ukumbi wa Nyumbani Lounge...