Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu imemhukumu Bahati Lukas (25) kifungo cha nje miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa jeneza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Miezi 6 jela kwa wapenzi wa jinsia moja
9 years ago
Bongo519 Nov
Ronda Rousey kutopanda ulingoni kwa miezi sita baada ya kupigwa kwa KO na Holly Holm
![ronda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ronda-300x194.jpg)
Ronda Rousey atatakiwa kukaa nje ya ulingo kwa siku 180 kutokana na kupigwa kwa knock-out na Holly Holm kwenye UFC 193 weekend hii.
Rousey alipigwa vibaya na Holm aliyewahi kuwa mwana masumbwi wa kulipwa na kuivunja rekodi yake ya kutowahi kupigwa. Alishindwa katika raundi ya pili kwa teke kali la kichwani.
Bondia huyo mwenye miaka 28 alipelekwa hospitali nchini Australia.
Kupitia Instagram baada ya mchezo huo, Rousey aliandika: I just wanted to thank everyone for the love and support. I...
11 years ago
Habarileo18 Jan
Mwanamke aliyetapeli kwa Airtel Money jela miezi 6
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa hapa kwenda jela miezi sita, kwa kosa la utapeli wa fedha kwa njia ya mtandao wa Airtel Money kwa mawakala mbalimbali wilayani humo.
5 years ago
MichuziMADEREVA 13 WAMESIMAMISHIWA LESENI ZAO KWA MUDA WA MIEZI SITA
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu akiwa na dereva aliyekuwa anaendesha basi bila kufuata utaratibu na sheria za barabarani.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Madereva 13 wamesimamishiwa leseni zao kwa muda wa miezi sita na kutokujihusisha na kazi ya udereva wa magari makubwa kwa kosa la kuvunja sheria za uslama barabarani kwa kuendesha
magari hayo kwa mwendo kasi.
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu ameeleza kuwa suala la ajari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Mchungaji kiongozi KKKT jela kwa wizi
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.