Ronda Rousey kutopanda ulingoni kwa miezi sita baada ya kupigwa kwa KO na Holly Holm
Ronda Rousey atatakiwa kukaa nje ya ulingo kwa siku 180 kutokana na kupigwa kwa knock-out na Holly Holm kwenye UFC 193 weekend hii.
Rousey alipigwa vibaya na Holm aliyewahi kuwa mwana masumbwi wa kulipwa na kuivunja rekodi yake ya kutowahi kupigwa. Alishindwa katika raundi ya pili kwa teke kali la kichwani.
Bondia huyo mwenye miaka 28 alipelekwa hospitali nchini Australia.
Kupitia Instagram baada ya mchezo huo, Rousey aliandika: I just wanted to thank everyone for the love and support. I...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm
![2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724-300x194.jpg)
Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini
Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.
Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.
Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa...
9 years ago
Bongo504 Dec
UFC wathibitisha kufanyika pambano la pili kati ya Ronda Rousey na Holly Holm
![ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb-300x194.jpg)
Rais wa UFC, Dana White amethibitisha Alhamis hii kuwa Ronda Rousey atapata mechi ya pili kutetea mkanda wa bantamweight dhidi ya Holly Holm, aliyempiga kwa knock out mwezi uliopita.
Akiongea kwenye kipindi kimoja cha redio jana, White alisema kutakuwepo na mechi ya marudiano kati ya mabondia hao japo hakusema itakuwa lini.
“I think that if we didn’t make the rematch, me and Lorenzo should probably lose our “Yeah, that fight’s going to happen. I don’t know when, but that’s the fight that...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
5 years ago
MichuziMADEREVA 13 WAMESIMAMISHIWA LESENI ZAO KWA MUDA WA MIEZI SITA
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu akiwa na dereva aliyekuwa anaendesha basi bila kufuata utaratibu na sheria za barabarani.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Madereva 13 wamesimamishiwa leseni zao kwa muda wa miezi sita na kutokujihusisha na kazi ya udereva wa magari makubwa kwa kosa la kuvunja sheria za uslama barabarani kwa kuendesha
magari hayo kwa mwendo kasi.
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Tanzania SACP Fotunatus Musilimu ameeleza kuwa suala la ajari...
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo45mifnQvhAkwS8Hsx9*Y6y6l37jjJJHkNNQyaMWG0SVPQ-08xLmEWnvEUV2DiQ*9ro1ZiYRtDFxfSRveFASF6u/bobbikristinab768.jpg?width=650)
BAADA YA KUZIMIA KWA MIEZI MIWILI, BOBBI KRISTINA AZINDUKA
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12
![](https://2.bp.blogspot.com/-cK42mR3-87E/VE_yTeQHWSI/AAAAAAAAO2M/95lLIlrnNYg/s1600/10155008_545657868900715_6021983416470434928_n.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-A4-xt1NZPT4/VE_yTR0g4PI/AAAAAAAAO2Q/1o_PvKZOEY4/s1600/10341942_545657938900708_3969098675456894504_n.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.