Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFC wathibitisha kufanyika pambano la pili kati ya Ronda Rousey na Holly Holm

ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb

Rais wa UFC, Dana White amethibitisha Alhamis hii kuwa Ronda Rousey atapata mechi ya pili kutetea mkanda wa bantamweight dhidi ya Holly Holm, aliyempiga kwa knock out mwezi uliopita.

ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb

Akiongea kwenye kipindi kimoja cha redio jana, White alisema kutakuwepo na mechi ya marudiano kati ya mabondia hao japo hakusema itakuwa lini.

“I think that if we didn’t make the rematch, me and Lorenzo should probably lose our “Yeah, that fight’s going to happen. I don’t know when, but that’s the fight that...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm

2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724

Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.

2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini

Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.

2E75796A00000578-3319107-image-m-25_1447568165431

Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.

1115-ronda-cut-getty-4

Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa...

 

9 years ago

Bongo5

Ronda Rousey kutopanda ulingoni kwa miezi sita baada ya kupigwa kwa KO na Holly Holm

ronda

Ronda Rousey atatakiwa kukaa nje ya ulingo kwa siku 180 kutokana na kupigwa kwa knock-out na Holly Holm kwenye UFC 193 weekend hii.

ronda

Rousey alipigwa vibaya na Holm aliyewahi kuwa mwana masumbwi wa kulipwa na kuivunja rekodi yake ya kutowahi kupigwa. Alishindwa katika raundi ya pili kwa teke kali la kichwani.

Bondia huyo mwenye miaka 28 alipelekwa hospitali nchini Australia.

Kupitia Instagram baada ya mchezo huo, Rousey aliandika: I just wanted to thank everyone for the love and support. I...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

UFC news: Video of Conor McGregor’s best UFC finishes shows why he is the sport’s biggest star

UFC news: Video of Conor McGregor’s best UFC finishes shows why he is the sport’s biggest star  GIVEMESPORTJustin Gaethje: If Conor McGregor ‘fights me and beats me,’ nobody could complain about the Khabib rematch  MMA Fighting'Together we stand!' Conor McGregor issues rallying cry to Ireland and the rest of the world amid coronavirus crisis (VIDEO)  RTConor McGregor Lobbies for ‘Lockdown United’ Against Coronavirus Pandemic  Sherdog.com“You Should Be Working On Your Takedown Defense”- Henry...

 

11 years ago

Mwananchi

Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1

Bondia Francis ‘SMG’ Cheka ameumia mkono wakati akifanya mazoezi ya kupigana na mdogo wake Cosmas hivyo kulazimika pambano lake na Valery Brudov wa Russia kusogezwa hadi Machi Mosi.

 

10 years ago

Vijimambo

PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.



Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?

 

9 years ago

StarTV

Mkutano wa pili wa FOCAC kufanyika Desemba

Mkutano wa pili wa taasisi ya ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC unatarajiwa kufanyika mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa mwezi ujao.

Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya pande hizo.

Balozi mdogo wa China nchini Zhang Biao amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ubalozi wa China hapa nchini.

Amesema viongozi wakiwemo wakuu wa nchi zaidi ya 50 na wa Umoja wa Afrika akiwemo Rais wa China XI...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Kanda Mashariki Vipaji kufanyika Idd Pili

WAREMBO 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki, Redd’s Miss Eastern Zone 2014, wanakabiliwa na mchuano wa kuwania la taji la vipaji utakaofanyika siku ya Idd Pili katika Ukumbi wa...

 

11 years ago

Michuzi

tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili

KAMPUNI ya Bia Nchini (TBL) kupitia kinywaji chake cha Grand Malt kimetangaza kudhamini tamasha la wazi la filamu ‘Tanzania Open Festival’ litakalofanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu mkoani Mtwara.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani