Mkutano wa pili wa FOCAC kufanyika Desemba
Mkutano wa pili wa taasisi ya ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC unatarajiwa kufanyika mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa mwezi ujao.
Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya pande hizo.
Balozi mdogo wa China nchini Zhang Biao amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ubalozi wa China hapa nchini.
Amesema viongozi wakiwemo wakuu wa nchi zaidi ya 50 na wa Umoja wa Afrika akiwemo Rais wa China XI...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Sep
Tamasha la Handeni Kwetu kufanyika Desemba 13
Katika tamasha hilo linalofanyika kwa mara pili, burudani mbalimbali za ngoma za asili zinatarajiwa kuonekana jukwaani, ambapo pia vikundi kutoka nje ya Handeni, mkoani Tanga navyo vitaalikwa kwa ajili ya kwenda kutoa burudani wilayani humo.
Akizungumzia hilo, jijini Dar es Salaam, Mratibu Mkuu wa tamasha hilo, Kambi Mbwana, alisema...
9 years ago
Habarileo02 Nov
Uchaguzi Handeni, Arusha Mjini kufanyika Desemba 12
UCHAGUZI wa ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini umepangwa kufanyika Desemba 12, mwaka huu.
10 years ago
Michuzi25 Sep
TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDPR655nML1PoOSd0T4zHlRfPsfTj0*uSV*ksDPQbYb6fINZrPdctc0QTmyKtQMWc2UyJjkWf7tc1oDb9eZIxtTD/championi.gif?width=650)
Droo ya pili Shinda Mahela na Championi ni Desemba 23
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Tume ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili Desemba 30
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK6z7w--d43GDB3-5s8V6UkNfQGQbI95Ul1n5rhSiHgIZVYMfAChK3XMj*bpOmHfBDlVz1jsIsHZLB0G39p0CaKJ/4.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA USAFIRI WA ANGA DUNIANI KUFANYIKA DESEMBA 7
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s72-c/_MG_0920.jpg)
TAMASHA LA KUMSHUKURU MUNGU SASA KUFANYIKA DESEMBA 25 DIAMOND JUBILEE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9pdvb2Vf9Dk/Vkjwb5r6PeI/AAAAAAADCbk/5CGDXJbnHAo/s640/_MG_0920.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-E_K9kTFcA/VkjwdXkZumI/AAAAAAADCbo/UVWfRI-g76A/s640/_MG_0939.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Tamasha la Handeni Kwetu lasogezwa mbele, sasa kufanyika Desemba 20
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ViW_1bBcaCTHIdYv-rkKIap6LCgCEq95bK6KWvaMPlSWkjl7DKLJoabEY-8rBU8Iu-u9ywnmWDpOG0u7sHutedIJ_fByag3zgUvugBi80HVwYuFubylsGIenUF5zL5I8kjQ2e5ZdZtwxwVcZi-cPXxBP-uaPC300SS1r4OAk166DArMfojuoL6zPo-i0qaIHGtZJLdEd6h-lST2OSX5eNP1r_KJanLW8cOTCzbdeiGHOTwDNJGfBp-LTjphGZAflceA8Bn8DkfjK0aD3KIikP87KyZBK35yu-yHFwtuRpw1ylxnmWk7bvcwWEdQ4sH1YU-x3ZkPdXxpSb9DS0YmRnp5Sdhx6ZhVX2Iwh0i4SsziUi7u7ezY0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-UbQD98Ss2-M%2FVIQJ5RphaqI%2FAAAAAAAAIWg%2FhLcKRxFAw1M%2Fs1600%2FKambi%252BMbwana%252C%252Bpicha.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SkMbLJ4ZyW0/VoKJwK4KprI/AAAAAAAIPNk/nozDdoOZmRQ/s72-c/3.jpg)
MKESHA WA MWAKA MPYA KITAIFA KUFANYIKA VIWANJA VYA UHURU DESEMBA 31.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SkMbLJ4ZyW0/VoKJwK4KprI/AAAAAAAIPNk/nozDdoOZmRQ/s320/3.jpg)
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia ni Askofu wa huduma ya Tanzania Fellowship Churches (TFC), Askofu ...