Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili Desemba 30

Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakabidhi rasimu ya pili ya Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, Desemba 30, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Rasimu ya II ya Katiba Desemba 30

Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Assaa RashidRAIS Jakaya Kikwete, Desemba 30 atakabidhiwa Rasimu ya Katiba mpya, baada ya kufanyiwa marekebisho na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME  - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Rasimu ya pili ya Katiba Mpya yakamilika

Hatimaye Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba imekamilisha kazi ya kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya tayari kwa hatua nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Rasimu ya pili ya Katiba ilivyozima dua ya CCM

Baada ya kutoka Rasimu ya kwanza ya Katiba mnamo Juni 3, 2013, pamoja na mambo mengine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama mojawapo ya Mabaraza ya Katiba kilikosoa muundo wa Jamhuri ya Muungano hasa kwa kuwa rasimu hiyo ilipendekeza uwepo wa Serikali tatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Pili ya Katiba hakuna cha kujadili

Juzi Rais Jakaya Kikwete alitoa maoni yake kuhusu muundo wa Muungano anaoutaka. Alifanya hivyo wakati alipokuwa akizindua Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani