Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm
Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini
Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.
Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.
Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Nov
Ronda Rousey kutopanda ulingoni kwa miezi sita baada ya kupigwa kwa KO na Holly Holm
![ronda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ronda-300x194.jpg)
Ronda Rousey atatakiwa kukaa nje ya ulingo kwa siku 180 kutokana na kupigwa kwa knock-out na Holly Holm kwenye UFC 193 weekend hii.
Rousey alipigwa vibaya na Holm aliyewahi kuwa mwana masumbwi wa kulipwa na kuivunja rekodi yake ya kutowahi kupigwa. Alishindwa katika raundi ya pili kwa teke kali la kichwani.
Bondia huyo mwenye miaka 28 alipelekwa hospitali nchini Australia.
Kupitia Instagram baada ya mchezo huo, Rousey aliandika: I just wanted to thank everyone for the love and support. I...
9 years ago
Bongo504 Dec
UFC wathibitisha kufanyika pambano la pili kati ya Ronda Rousey na Holly Holm
![ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb-300x194.jpg)
Rais wa UFC, Dana White amethibitisha Alhamis hii kuwa Ronda Rousey atapata mechi ya pili kutetea mkanda wa bantamweight dhidi ya Holly Holm, aliyempiga kwa knock out mwezi uliopita.
Akiongea kwenye kipindi kimoja cha redio jana, White alisema kutakuwepo na mechi ya marudiano kati ya mabondia hao japo hakusema itakuwa lini.
“I think that if we didn’t make the rematch, me and Lorenzo should probably lose our “Yeah, that fight’s going to happen. I don’t know when, but that’s the fight that...
10 years ago
GPLBAADA YA KUPIGWA CHUPA, KAJALA ASEMA MAISHA YANAENDELEA
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani
9 years ago
Bongo Movies25 Aug
Baada ya Baadhi ya Mashabiki Kumshambulia kwa Maneno, JB Asema Haya
Kufuatia kitendo baadhi ya mashabiki kumshabulia kwa maneno makali staa wa Bongo Movies, JB kwa kuonyesha mapenzi yake kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, JB amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwataka wabadilike kimtazamo.
Hakuna kitu muhimu kwenye maisha kama furaha....lakini furaha ina ambatana na kufanya mambo ambayo moyo wako unapenda bila kuvunja sheria.
Kuishi maisha ya kuogopa kitu unachopenda kwa sababu ya watu ni kuinyima furaha roho...
10 years ago
CloudsFM28 Jan
PAMOJA NA KUPIGWA VIBAO HADHARANI,HUH ASEMA HAMUACHI SHILOLE NG'O!
Hivi karibuni kwenye tamasha lililofanyika kwenye viwanja wa Leaders,Kinondoni jijini Dar,msanii wa Bongo Fleva,Shilole alimzaba vibao mpenzi wake,Nuh Mziwanda hadharani hali iliyozua tafrani hadi baadhi ya wasanii kuingilia kati.
Habari zinasema pamoja na kuamuliwa asimpige mpenzi wake lakini bado Shilole alikuwa mkali baadaye msanii mwenzake,Steve Nyerere aliweza kumtuliza Shilole.
Kupitia mtandao wa Instagram msanii Nuh Mziwanda alidhihirisha kuwa hawezi kumuacha mpenzi wake huyo pamoja na...
11 years ago
Bongo514 Jul
Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘itakuwa amechanyikiwa na madawa’
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
9 years ago
Bongo516 Dec
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake
![dai n zar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/dai-n-zar-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
mashine...