PAMOJA NA KUPIGWA VIBAO HADHARANI,HUH ASEMA HAMUACHI SHILOLE NG'O!
Hivi karibuni kwenye tamasha lililofanyika kwenye viwanja wa Leaders,Kinondoni jijini Dar,msanii wa Bongo Fleva,Shilole alimzaba vibao mpenzi wake,Nuh Mziwanda hadharani hali iliyozua tafrani hadi baadhi ya wasanii kuingilia kati.
Habari zinasema pamoja na kuamuliwa asimpige mpenzi wake lakini bado Shilole alikuwa mkali baadaye msanii mwenzake,Steve Nyerere aliweza kumtuliza Shilole.
Kupitia mtandao wa Instagram msanii Nuh Mziwanda alidhihirisha kuwa hawezi kumuacha mpenzi wake huyo pamoja na...
CloudsFM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania