Mchezaji afariki baada ya kupigwa
Mchezaji wa soka raia wa Cameroon amefariki baada ya kupigwa katika kichwa nchini Algeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mchezaji Gabon afariki uwanjani
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Mchezaji wa raga afariki Australia
11 years ago
BBCSwahili05 May
Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao
10 years ago
Habarileo29 Oct
Anayedaiwa kupigwa na mumewe baa afariki dunia
MWANAMKE Sakina Kopa (41) amefariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kujeruhiwa na mumewe anayedaiwa kuchukizwa kwa kumkuta akiwa baa usiku. Aidha, katika tukio jingine linalohusishwa na wivu, dereva wa bodaboda amemjeruhi kwa visu mpenzi wake ambaye ni Mwalimu, na baada ya kudhani amemuua, naye alijichoma kisu hadi utumbo kutoka nje, ingawa bado yu hai.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki
10 years ago
StarTV16 Dec
Mfuasi CHADEMA afariki kwa kupigwa jembe kichwani
Na Shaabani Alley
Shinyanga
Mkazi wa Halmashauri ya wilaya ya Ushetu wilayani Kahama ambaye ni mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA amefariki kwa kupigwa jembe kichwani na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati akishangilia ushindi wa chama chake.
Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya kuvuruga uchaguzi huo.
Hata hivyo Kamanda Kamugisha...