Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji afariki baada ya kupigwa

Mchezaji wa soka raia wa Cameroon amefariki baada ya kupigwa katika kichwa nchini Algeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa

Mchezaji wa Argentina Franco Nieto ,amefariki baada ya kupigwa kwenye kichwa wakati wa mechi siku ya jumamosi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji Gabon afariki uwanjani

Mchezaji wa klabu ya Ac Bongoville,Sylvain Azougoui amekufa baada ya kupigwa teke kwa kichwa wakati wa mechi ya ligi kuu nchini Gabon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa raga afariki Australia

Mchezaji wa raga nchini Australia,aliyepata majeraha katika mchuano wa kombe la Queensland nchini humo, amefariki hospitalini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki

Mchezaji wa zamani wa tennis nambari moja wa Uingereza Elena Baltacha amefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani ya ini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki akisherehekea bao

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuiga pindu akisherehekea bao

 

10 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kupigwa na mumewe baa afariki dunia

MWANAMKE Sakina Kopa (41) amefariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kujeruhiwa na mumewe anayedaiwa kuchukizwa kwa kumkuta akiwa baa usiku. Aidha, katika tukio jingine linalohusishwa na wivu, dereva wa bodaboda amemjeruhi kwa visu mpenzi wake ambaye ni Mwalimu, na baada ya kudhani amemuua, naye alijichoma kisu hadi utumbo kutoka nje, ingawa bado yu hai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki

Aliyekuwa nahodha wa timu ya soka ya Benfica kutoka Msumbiji Mario Coluna amefariki Msumbuji

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki

Mchezaji huyo amefariki siku chache baada ya kupata majeraha alipogongwa kichwani na mpira siku ya Jumanne mjini Syney.

 

10 years ago

StarTV

Mfuasi CHADEMA afariki kwa kupigwa jembe kichwani

Na Shaabani Alley

Shinyanga

 

Mkazi wa Halmashauri ya wilaya ya Ushetu wilayani Kahama ambaye ni mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA amefariki kwa kupigwa jembe kichwani na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati akishangilia ushindi wa chama chake.

 

Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya kuvuruga uchaguzi huo.

 

Hata hivyo Kamanda Kamugisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani