Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki

Mchezaji wa zamani wa tennis nambari moja wa Uingereza Elena Baltacha amefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani ya ini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji Gabon afariki uwanjani

Mchezaji wa klabu ya Ac Bongoville,Sylvain Azougoui amekufa baada ya kupigwa teke kwa kichwa wakati wa mechi ya ligi kuu nchini Gabon.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki akisherehekea bao

Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuiga pindu akisherehekea bao

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa raga afariki Australia

Mchezaji wa raga nchini Australia,aliyepata majeraha katika mchuano wa kombe la Queensland nchini humo, amefariki hospitalini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki baada ya kupigwa

Mchezaji wa soka raia wa Cameroon amefariki baada ya kupigwa katika kichwa nchini Algeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa

Mchezaji wa Argentina Franco Nieto ,amefariki baada ya kupigwa kwenye kichwa wakati wa mechi siku ya jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki

Mchezaji huyo amefariki siku chache baada ya kupata majeraha alipogongwa kichwani na mpira siku ya Jumanne mjini Syney.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki

Aliyekuwa nahodha wa timu ya soka ya Benfica kutoka Msumbiji Mario Coluna amefariki Msumbuji

 

9 years ago

Dewji Blog

Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza

ClickHandler.ashx

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.

Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...

 

9 years ago

Bongo5

Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza

150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters

Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.

150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters

Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.

Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.

Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani