Baltacha: Mchezaji wa Uingereza afariki
Mchezaji wa zamani wa tennis nambari moja wa Uingereza Elena Baltacha amefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani ya ini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mchezaji Gabon afariki uwanjani
11 years ago
BBCSwahili20 Oct
Mchezaji afariki akisherehekea bao
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Mchezaji wa raga afariki Australia
11 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Mchezaji mkongwe Mario Coluna afariki
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.
Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...
9 years ago
Bongo506 Jan
Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza

Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.
Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.
Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...