Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1
Bondia Francis ‘SMG’ Cheka ameumia mkono wakati akifanya mazoezi ya kupigana na mdogo wake Cosmas hivyo kulazimika pambano lake na Valery Brudov wa Russia kusogezwa hadi Machi Mosi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Pambano la Cheka, Mrussia hatihati
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Pambano la Cheka lasogezwa mbele
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Promota Kova ajitwisha pambano la Cheka, Brudov
9 years ago
Bongo504 Dec
UFC wathibitisha kufanyika pambano la pili kati ya Ronda Rousey na Holly Holm
![ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ronda-rousey-holly-holm-zoom-05918508-50b0-491d-ab15-690449f21dcb-300x194.jpg)
Rais wa UFC, Dana White amethibitisha Alhamis hii kuwa Ronda Rousey atapata mechi ya pili kutetea mkanda wa bantamweight dhidi ya Holly Holm, aliyempiga kwa knock out mwezi uliopita.
Akiongea kwenye kipindi kimoja cha redio jana, White alisema kutakuwepo na mechi ya marudiano kati ya mabondia hao japo hakusema itakuwa lini.
“I think that if we didn’t make the rematch, me and Lorenzo should probably lose our “Yeah, that fight’s going to happen. I don’t know when, but that’s the fight that...
10 years ago
GPLSEMINA YA UJASIRIAMALI KUFANYIKA 25-28 MACHI DAR LIVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJAP3s2WWBLAFucOQfLHpht*NuibuDKJUlII5jGuJry5QrMdO3VzukAFXQsIv4ykP1SXDNrBsJ7sIx5AonKFXgG/ACT.jpg)
UZINDUZI WA ACT NA MKUTANO MKUU KUFANYIKA MACHI 28 NA 29
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI WA KAMATI YA UTENDAJI YA TASWA KUFANYIKA MACHI 2,2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s1600/TASWALOGO.jpg)
Fomu kwa ajili ya waombaji uongozi zinaanza kutolewa Jumatatu (Februari 24 mwaka huu) kwenye ofisi za Idara ya Habari. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa fomu....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s1600/killiLogoNew.jpg)
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o72Bg_CFnTk/VOWjkisuOmI/AAAAAAAHEfQ/K_YoNGGRK70/s72-c/images%2B(1).jpeg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA MACHI 8, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-o72Bg_CFnTk/VOWjkisuOmI/AAAAAAAHEfQ/K_YoNGGRK70/s1600/images%2B(1).jpeg)
Maadhimisho haya hutoa fursa kwa Taifa, mikoa, wilaya na wadau wengine kupima mafanikio yaliyopatikana katika kuwendeleza wanawake na...