Promota Kova ajitwisha pambano la Cheka, Brudov
Pambano la Francis Cheka na Varely Brudov wa Russia sasa litasimamiwa na promota mpya, Mussa Kova kutoka Kampuni ya Mawenzi Focus International Ltd baada ya aliyekuwa promota wa awali, Jay Msangi kueleza kujiondoa kuendelea kuliandaa pambano hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Promota Don King kumshuhudia Francis Cheka Dar
Promota maarufu wa ngumi za kulipwa duniani Donald ‘Don’ King maarufu zaidi kama Don King anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye pambano la Francis ‘SMG’ Cheka na Valery Brudov wa Russia.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Pambano la Cheka lasogezwa mbele
Pambano la Francis Cheka na Varely Brudov wa Russia lilililokuwa lifanyike Aprili 5 jijini Dar es Salaam limesogezwa mbele hadi litakapotajwa tena, huku lile la Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino likibaki palepale.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Pambano la Cheka, Mrussia hatihati
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imekiwekea ngumu Chama cha Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST) kutoa kibali cha pambano la bondia Francis ‘SMG’ Cheka na Valery Brudov wa Russia kwa kile ilichoeleza hadi iombwe radhi kwa maandishi na promota wa pambano hilo, Jay Msangi.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1
Bondia Francis ‘SMG’ Cheka ameumia mkono wakati akifanya mazoezi ya kupigana na mdogo wake Cosmas hivyo kulazimika pambano lake na Valery Brudov wa Russia kusogezwa hadi Machi Mosi.
9 years ago
Vijimambo13 Sep
PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-0/p280x280/12006246_1050293754989289_1837075724729834108_n.jpg?oh=695a337baac06b37f64c7c95e78eceee&oe=569FD355)
Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Magufuli ajitwisha mzigo wa wachimbaji wadogowadogo
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ameahidi kumaliza kero ya muda mrefu inayowakabili wachimbaji wadogowadogo nchini kwa kuwatafutia maeneo maalumu kwa ajili ya shughuli zao za uchimbaji.
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Kocha Phiri ajitwisha zigo la lawama
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumsakama kipa Ivo Mapunda na kutaka lawama zote abebeshwe yeye kwani yupo tayari kuwajibika.
11 years ago
Michuzi18 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania