Kocha Phiri ajitwisha zigo la lawama
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumsakama kipa Ivo Mapunda na kutaka lawama zote abebeshwe yeye kwani yupo tayari kuwajibika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Nov
Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Charles Mkwasa amekubali kubeba lawama za Watanzania kufuatia kipigo cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 huko Urusi uliofanyika usiku wa Jumanne wiki hii huko Bilda, Algeria.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Ivo: Nilibeba ‘zigo’ la lawama
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Kerr atupia zigo la lawama nyota wake
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni.
Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa...
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Kocha Maximo amtwisha Nsajigwa zigo la Kagame
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Kocha Phiri apigwa butwaa
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Kocha Phiri amtuliza Mosoti
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Amri Said amkingia kifua kocha Phiri
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Phiri: Mimi bado kocha bora