Kocha Phiri amtuliza Mosoti
Ingawa bado haijatangazwa rasmi kuondolewa kwa beki wa Simba, Donald Mosoti katika kikosi hicho, kocha wake, Patrick Phiri amesema ameanza kumjenga kisaikolojia ili aone ni suala la kawaida na maisha ya soka yapo popote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuoQrz7lw*tYXn42M9AkTiFVdrJOx*RHD4nI*SPKZyFg2nzANz1U-6treOtRNLAO3Gpz0zNQ73N3u7fyoqapTAOt/phili.jpg)
Phiri amtuliza Tambwe Simba
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kumuacha katika kikosi cha timu hiyo kilichocheza dhidi ya URA ya Uganda hivi karibuni, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, amemtuliza mshambuliaji wake raia wa Burundi, Amissi Tambwe na kumhakikishia kuwa atapata nafasi ya kucheza. Ijumaa iliyopita, Tambwe alijikuta katika wakati mgumu baada kutoswa katika kikosi cha timu hiyo ambacho kilicheza na URA na...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mosoti, Butoyi wamtesa Phiri
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amepatwa na kigugumizi cha uamuzi wa nani abaki kati ya Mkenya Donald Mosoti na Mrundi Butoyi Hussein kujaza nafasi ya beki wa kati.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Kocha Phiri apigwa butwaa
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema soka la Tanzania limejaa siasa hivyo amewaachia viongozi wa timu hiyo kuamua ni mchezaji gani wa kigeni anafaa kuachwa baada ya kusajiliwa mshambuliaji Emmanuel Okwi.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Amri Said amkingia kifua kocha Phiri
Beki wa zamani wa Simba, Amri Said amewataka mashabiki na viongozi wa timu hiyo kumpa muda wa kutosha kocha Patrick Phiri kwani anaamini kuwa timu hiyo ina nafasi bado ya kutwaa ubingwa.
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Kocha Phiri ajitwisha zigo la lawama
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumsakama kipa Ivo Mapunda na kutaka lawama zote abebeshwe yeye kwani yupo tayari kuwajibika.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Phiri: Mimi bado kocha bora
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema yeye ni kocha bora licha ya timu yake kupata sare sita msimu huu na kama atafukuzwa, basi ni kwa utashi wa viongozi wa klabu hiyo.
10 years ago
MichuziKibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Bilionea wa Nigeria amtuliza mshindi wa pili Big Brother kwa Sh607 milioni
Bilionea Ayiri Emami, ametoa kitita cha Dola za Marekani 350,000Â (Sh607 milioni), kwa mshindi wa pili wa mashindano ya Big Brother Hotshots 2014, Tayo Faniran.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania