Mosoti, Butoyi wamtesa Phiri
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amepatwa na kigugumizi cha uamuzi wa nani abaki kati ya Mkenya Donald Mosoti na Mrundi Butoyi Hussein kujaza nafasi ya beki wa kati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Kocha Phiri amtuliza Mosoti
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Butoyi awagawa viongozi Simba
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Musoti ampiga bao Butoyi, Okwi nje
10 years ago
TheCitizen29 Aug
Mosoti to remain at Simba SC
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mosoti aigomea Simba
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Mosoti azuiwa kuondoka Simba
10 years ago
TheCitizen11 Sep
Mosoti a Simba player for now: Aveva
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Ujangili wamtesa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajia kuongoza mkutano wa kujadili jinsi ya kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani, serikali yake imetajwa kuongoza kwa mauaji ya tembo. Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Alhamisi...
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba
![Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kiongera.jpg)
Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera
NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA
MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.
Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...