Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mosoti, Butoyi wamtesa Phiri

Kocha wa Simba, Patrick Phiri amepatwa na kigugumizi cha uamuzi wa nani abaki kati ya Mkenya Donald Mosoti na Mrundi Butoyi Hussein kujaza nafasi ya beki wa kati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha Phiri amtuliza Mosoti

Ingawa bado haijatangazwa rasmi kuondolewa kwa beki wa Simba, Donald Mosoti katika kikosi hicho, kocha wake, Patrick Phiri amesema ameanza kumjenga kisaikolojia ili aone ni suala la kawaida na maisha ya soka yapo popote.

 

10 years ago

Mwananchi

Butoyi awagawa viongozi Simba

Ujio wa beki mpya wa Simba, Mrundi Butoyi Hussein umewagawa viongozi wa Simba katika makundi mawili yanayopingana juu ya usajili wake, ingawa kocha Patrick Phiri amesema aachiwe kazi hiyo aifanye mwenyewe.

 

10 years ago

Mwananchi

Musoti ampiga bao Butoyi, Okwi nje

Rais wa Simba, Evans Aveva amemaliza utata wa usajili wa wachezaji wa kigeni uliokuwa umeigubika klabu hiyo kwa kusema Mkenya Donald Mosoti ndiye anabaki na Mrundi Butoyi Hussein wamempiga chini huku Yanga nao wakimpiga chini Emmanuel Okwi raia wa Uganda.

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti to remain at Simba SC

Kenyan defender Donald Mosoti will not be shown the door with Vodacom Premier League (VPL) outfit Simba SC as earlier reported.

 

10 years ago

Mwananchi

Mosoti aigomea Simba

Beki Mkenya Donald Mosoti amesema hataondoka Simba mpaka kieleweke kwa kuwa hajui lolote kuhusu kuondolewa katika timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mosoti azuiwa kuondoka Simba

Sakata la beki Donald Mosoti limechukua sura mpya baada ya kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri kuingilia kati, akimzuia kuondoka hadi wakati wa usajili wa dirisha dogo.

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti a Simba player for now: Aveva

Simba Sports Club leadership has said they will continue retaining Kenyan defender Donald Mosoti during this transition period.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujangili wamtesa JK

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajia kuongoza mkutano wa kujadili jinsi ya kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani, serikali yake imetajwa kuongoza kwa mauaji ya tembo. Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Alhamisi...

 

10 years ago

Mtanzania

Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.

Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani