Ujangili wamtesa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajia kuongoza mkutano wa kujadili jinsi ya kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani, serikali yake imetajwa kuongoza kwa mauaji ya tembo. Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Alhamisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Lm3ZTDSwr0ArYHPNOnCZCXoIBGxp31IdSNV90fxnm*YzrQr5SI2d*EKRkanO46hXkIYcV*jsZcvOLjBe0zrEcL/FRONTAMANI.gif?width=650)
UGUMBA WAMTESA WEMA
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Mawaziri wamtesa Dk. Magufuli
*Sura mpya zatajwa kuingia Baraza jipya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ZIKIWA zimetimia siku sita tangu Rais Dk. John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wingu zito limetanda kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri.
Wakati kitendawili cha kwanza kinatarajiwa kuteguliwa Novemba 19 mjini Dodoma, pale Bunge la 11 litakaporidhia uteuzi wa waziri mkuu anayesubiriwa kwa hamu, mtihani mwingine unabaki kwa mawaziri.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg1fGehWCQalyrjR35Ai*Byr5ijfPujAei0Xfa0g-1gw5G0ZsQAfMX400BHh6tvfCtIl8QC*r1Hs-9OYTQsDCCrn/recho.jpg)
MZIMU WA RECHO WAMTESA SAGUDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLafJI7ePIFyQ4z2RY*q4-*6qNKt8BLgrz5BHYX06ZztatqKTfKahgUIpeDXc2x-JUGgO4kFMO*5uoo8G9pOrkjU2/selenaxxxxxxxxxxxxxxxxxx.gif?width=650)
UNENE WAMTESA SELENA GOMEZ
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mosoti, Butoyi wamtesa Phiri
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban
10 years ago
Bongo Movies26 May
Wauza Sura Wamtesa Batuli
Staa wa Bongo Movies, Yobnesh Yussuf ‘Batuli’ amekiri kuteswa na suru nzuri za wanaume ambao huwa wanamfuata kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi huku wengine wakimuahidi kumuoa na kuwakubalia ombi lao na kuelekeza mapenzi yake yote kwao.
Azungumza na tanuru la fulamu hivi karibuni batuli alisema kuwa yeye huwa anapenda mwanaume mpole na mwenye kujiheshimu ili watengeneze maisha yao na penzi linapo kolea na kujiachia kimahaba sura hizo hubadilika na kuwa mwiba kwake hali ambayo humfanya ...