Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_00791.jpg)
WANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Tumeshindwa kupambana na ujangili?
KATIKA gazeti hili jana, kulikuwa na taarifa ya watu sita wanaodhaniwa majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s72-c/NYALANDU9.jpg)
VITA YA UJANGILI
Serikali yapewa ndege ya kisasa
NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s1600/NYALANDU9.jpg)
Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1CWLyIsg6qU/VHgtHLF1XQI/AAAAAAACvf8/DUbDCYoMoiU/s72-c/001.jpg)
WWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mpango kupambana na ujangili wazinduliwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imezindua mpango mkakati wa kimataifa wa kupambana na ujangili wa meno ya tembo na kujipanga kimkakati ili kukamilisha mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Afrika Mashariki kupambana na ujangili
KATIKA juhudi za kupambana na ujangili nchini, Tanzania inatarajiwa kusaini makubaliano na nchi za Afrika Mashariki ili kuweza kuzuia na kuwachukulia hatua wanaojihusisha na biashara hiyo. Akizungumza wakati wa kutoa...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
‘Ujangili ni vita ya pamoja’
9 years ago
Mwananchi04 Sep
‘Afrika Mashariki unganeni kupambana na ujangili’